Licha ya maneno mengi YA watanzania na mashabiki Uchwara wakimponda Mrembo wetu miss Tanzania 2016 Diana Edward kimsingi mimi #kijanamzalendo ni Miongoni mwa watu ambao ninamkubali na kumpenda...
Hivi hawa wanaojiita madirector waliotukuka wanaofuatwa bondeni kweli kabisa wamekosa ubunifu?? Angalia copy and paste hapa
Alianza Harmonize na Bado yake akacopy kila kitu kutoka Stupid Love wa...
Niliposikiliza huu wimbo wa Usisahau wa Timbulo nikajua Kassim Mganga katoa Remix ya Haiwezekani, yaani Timbulo, Baraka na producer wao wote wamepita mulemule
Jamani Clouds Fm mnaboa sana. Huu mziki wa singeli sijafaham mnaupendea nini? Maana hauburudishi wala kuelimisha. Yaani ni kelele tu hadi napata ukakasi nakubadili stesheni redio.
Wakuu...
kuna wimbo huu ameimba Mchungaji Faustin Munishi nimejaribu kuutafuta mtandaoni nimeukosa ila maneno yake yako hivi...
"mokozi iiii Yesu...Kazi nimemaliza aaah... nitume tena niende na...
Jamani mimi ni mpenz wa series za kikorea
niambieni nzurinzuri kama Giant hivi ama east of eden ama scandal nataka za sampuli hii za.kifalmefalme sipend sana.napenda za visasi na mkono kidogo...
Msanii RICH MAVOKO ambaye yuko chini ya lebo ya WCB aachia kibao kipya alichomshirikisha DIAMOND kinachoenda kwa jina la KOKORO...Ila katika kupromote kazi hiyo diamond aandika maneno yenye utata...
BASATA: Baraza la Sanaa Tanzania limesema linaihakiki video ya wimbo mpya wa Rich Mavoko, Kokoro ili kuona kama wanawake wamedhalilishwa.
Basata wameandika kwenye ukurasa wao wa twitter===>Baraza...
Kituo kikubwa cha MTv base Africa leo limetoa wana hiphop 10 bora wa Tanzania waliofanya vizuri 2016.
1. Fid Q
2. Joh Makini
3. AY
4. MwanaFA
5. Roma
6. Mr. Blue
7. Nikki wa pili
8. G...
Mambo anayo yafanya diamond n kama mtu na degree zake.. Cz anajua kutumia udhaifu wa washndani wake ana jifunza kwa wapinzan wake bt haigii... OUR ICON [emoji109] [emoji109] [emoji109]
habarini wadau, kwa wale wafuatuliaji wa vipindi ktk channel hiyo ningependa mnijuze vipindi vya mieleka (wrestling) huwa vinaoneshwa siku gani na masaa gani. Karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.