wana ndugu najua wengine watakuja kuuliza bongo satra seach mi najua wakitoka pale wanakuwa wanamuziki wanapata vipaji na ajira zao kuna hawa maisha plus mwishowe mtu anafaidika na nini mbeleni...
wakuuu naona ni share nanyi series ambazo sita weza kuzisahau or my top 5
.kyle xy
.touch
.secret circle
.chuck
.mind your language
kama umewahi kuona moja kati ya hizo je wazionaje.....
movie ya kwanza (the unspected journey). ilitoka 2012. mwaka 2013 imetoka the desolation of smaug ndo nataka kuanza kuicheki ila kwa kuangalia highlight naona kutakuwa na movie tatu kama lords of...
Wakuu wana JF kuna wimbo niliwahi kuusikia miaka ya nyuma kidogo niliupenda ila simkumbuki Msanii wala Jina la Wimbo ila maneno haya yaliimbwa humo:
Kama ni watoto,
fika kwetu posa...
Here are the conquerors from each category:
Instrumentalists: Nikita from Ukraine, Lugansk
Dance Groups: Stroopers from Philippines, Alilem, Ilocos Sur...
In just three days, Beyonce sold more than 617,000 Pitia hapo www.Daily news.com .SASA hichi kitu kimenishangaza sana Mpaka nika Amua kuweka huu Uzi hapa.najiuliza after one month itakuwa kauza...
Wana jukwaa habari zenu?kwa wafuatiliaji wa hii series nimefika season.ya nne cjaielewa kabisa.ufafanuzii plz maana mara waonyeshe vitu vilivyopita,mara vijavyo
Mnapiga sebene kiwango duni halafu mnategemea washiriki wacheze vizuri?Hivi msipoharibu huwa hamjisikii raha?Halafu acheni kucheza wimbo mmoja mnaharibu sana kipindi na halafu kwa nini msiruhusu...
Ikiitwa TVT enzi hzo!!!!.....Ulijitokeza Wivu wa Kijinga wa kuona ITV ina Watazamaji wengi....Serikali ikastopisha
Tamthiliya ya THE PASSION kulinda tamaduni ya Mtanzania..kiukweli THE PASSION...
A Florida man who won a contest to watch the final episode of the drama Breaking Bad has been charged with drug possession.
Ryan Lee Carroll was arrested for possessing a synthetic narcotic and...
'Fresh Prince' star James Avery dies
Heart surgery complications caused death
Actor James Avery, who played the beloved Uncle Phil on the hit 1990s sitcom "The Fresh Prince of Bel-Air,"...
Ndugu zanguni,
Leo wengi tunajifungia majumbani na familia tukiusubiri mwaka mpya 2014.
Mimi hapa nilipo nina debe la ulanzi, bakuli la bagia na jikoni kale kamnyama kanapikwa
Mwenzangu huko...
Waungwana ambao washamiliki ving'amuzi vya azam tv, nimesikia kuna stesheni mpya za Itv, Eatv na Star tv wameziongeza tayari. Mwenye kujua jinsi ya kuzi search msaada tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.