Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

leo nimesikia wimbo mmoja wa msanii wa hapa bongo ametumia instrumental ya j martin na yeye melody yake ni ileile aliyotumia j martins yaani kama alivyokuwa akifanya Saleh Jabir. mi naona ni kazi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna huyu dada ana kipaji cha aina yake. http://www.youtube.com/watch?v=vOhf3OvRXKg&feature=player_embedded
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wengine ni kama akina Def Defao etc
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Hedo Turkoglu(notes) has been a bit of a disappointment to Raptor fans this season. And by "a bit" I mean "colossally huge," of course. A five-year, $53 million contract and not a lot of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hiki kipindi nimekisikia kwa mara ya kwanza nilivyokua Bongo kwa likizo mwezi Desemba. Kilinikuna sana moyo Wale wadada watatu Regina Mwalekwa na wenzake, ni mahiri sana katika kukiendesha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf, Nimeona siyo mbaya nikiwakumbusha enzi hizo. Gonga hapo chini uone. Enjoy. YouTube- Lord Kitchener - SUGAR BUM BUM Msisahau senksi basi jamani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna mtu mwenye kuhitaji magazeti ya Tintin (soft copies), mimi ninayo yote, nimejitahidi kuyaweka hapa kwa kutumia zip bado file zimekataa... kwa kila mwenye kuyahitaji anaweza kuni PM.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Well.. kuna michezo mbalimbali ya utoto ambayo ilikuwa ni burudani, vituko na wakati fulani ilizaa urafiki wa kudumu sana. Michezo ambayo watoto wetu leo hii wanaweza kuona kuwa haina maana tena...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Anaitwa Khalid Ramadhan tunda ukipenda muite tunda man ni kichwa kinachosumbua kwenye anga za bongo flavor.Kwa wanaomkubuka feruzi na nyimbo zake za malalamiko zilivyosumbua miaka ya mwanzoni ya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Jamani naomba kuchukua fursa hii kuwapongeza Channel 5 kwa kuzidi kutuletea ubunifu mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine inatufanya tuburudike, Hiki kichura ambacho mara nyingi huonyeshwa...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Chaguo langu leo kwa wadau ni 1. MPOTO feat BANANA nikipata nauli 2. Tinchy Stryder Ft Amelle Berrabah - Never Leave You 3 Knock You Down Keri Hilson Feat. Ne-Yo & Kanye West 4 Tinchy Stryder...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
New opportunities. Please check the website below for more information.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ningependa wapenzi wenzangu wa novels mnipe recommendation zenu za vitabu gani ni `must read`, manake vitabu kununua kidogo ni ghali kwa hiyo kununua kwa kubahatisha tu huwa kunachosha.. sibagui...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Student’s EP tops iTunes hip-hop charts first week out NEW YORK - The name "Sam Adams" mainly has been associated with several American historical figures and a popular Boston beer — until...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza Local TV channel gani hapa nyumbani Tanzania inakusisimua na kazi zao ( creativity )?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Aliekuwa mchezaji wa simba Abadallah kibaden king ameweka wazi kwenye moja ya gazeti la toleo la leo la mchezo kwamba alipata mke kutkana na mpira,... akiongea na mwandishi wa habari kibaden...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HIZI TUZO SASA! JOH MAKINI TV QUEEN OF THE YEAR? 3. TV Queen Of The Year Problem - CP Stimu Zimelipiwa - Joh Spare Tairi - Matonya Kwa Ajili Yako - Hussein M Karibu Kiumeni - Chege
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tupeana burudani kwa kila 1ja kuwakilisha nyimbo chache anazopenda kutusikilizisha Naanza kama Dj wenu Sikilizeninyimbo hizi Right Round wa Flo rida Nimependa beats za huu wimbo nadhani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika ukurasa hii kila mzalendo atakuwa na haki ya kutukumbusha kikosi cha timu na akumbushe pia ni tukio gani lililopelekea asikisahau kikosi hicho. Kwa kuanzia basi naanza na kikosi cha Gor...
0 Reactions
74 Replies
12K Views
YouTube- Sindimba Wazaramo kama mimi watanielewa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom