leo nimesikia wimbo mmoja wa msanii wa hapa bongo ametumia instrumental ya j martin na yeye melody yake ni ileile aliyotumia j martins yaani kama alivyokuwa akifanya Saleh Jabir. mi naona ni kazi...
Hedo Turkoglu(notes) has been a bit of a disappointment to Raptor fans this season. And by "a bit" I mean "colossally huge," of course. A five-year, $53 million contract and not a lot of...
Hiki kipindi nimekisikia kwa mara ya kwanza nilivyokua Bongo kwa likizo mwezi Desemba. Kilinikuna sana moyo
Wale wadada watatu Regina Mwalekwa na wenzake, ni mahiri sana katika kukiendesha...
Habari wana jf,
Nimeona siyo mbaya nikiwakumbusha enzi hizo.
Gonga hapo chini uone.
Enjoy.
YouTube- Lord Kitchener - SUGAR BUM BUM
Msisahau senksi basi jamani.
Kama kuna mtu mwenye kuhitaji magazeti ya Tintin (soft copies), mimi ninayo yote, nimejitahidi kuyaweka hapa kwa kutumia zip bado file zimekataa... kwa kila mwenye kuyahitaji anaweza kuni PM.
Well.. kuna michezo mbalimbali ya utoto ambayo ilikuwa ni burudani, vituko na wakati fulani ilizaa urafiki wa kudumu sana. Michezo ambayo watoto wetu leo hii wanaweza kuona kuwa haina maana tena...
Anaitwa Khalid Ramadhan tunda ukipenda muite tunda man ni kichwa kinachosumbua kwenye anga za bongo flavor.Kwa wanaomkubuka feruzi na nyimbo zake za malalamiko zilivyosumbua miaka ya mwanzoni ya...
Jamani naomba kuchukua fursa hii kuwapongeza Channel 5 kwa kuzidi kutuletea ubunifu mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine inatufanya tuburudike,
Hiki kichura ambacho mara nyingi huonyeshwa...
Chaguo langu leo kwa wadau ni
1.
MPOTO feat BANANA nikipata nauli
2.
Tinchy Stryder Ft Amelle Berrabah - Never Leave You
3
Knock You Down Keri Hilson Feat. Ne-Yo & Kanye West
4
Tinchy Stryder...
Ningependa wapenzi wenzangu wa novels mnipe recommendation zenu za vitabu gani ni `must read`, manake vitabu kununua kidogo ni ghali kwa hiyo kununua kwa kubahatisha tu huwa kunachosha..
sibagui...
Students EP tops iTunes hip-hop charts first week out
NEW YORK - The name "Sam Adams" mainly has been associated with several American historical figures and a popular Boston beer until...
Aliekuwa mchezaji wa simba Abadallah kibaden king ameweka wazi kwenye moja ya gazeti la toleo la leo la mchezo kwamba alipata mke kutkana na mpira,...
akiongea na mwandishi wa habari kibaden...
HIZI TUZO SASA! JOH MAKINI TV QUEEN OF THE YEAR?
3. TV Queen Of The Year
Problem - CP
Stimu Zimelipiwa - Joh
Spare Tairi - Matonya
Kwa Ajili Yako - Hussein M
Karibu Kiumeni - Chege
Tupeana burudani kwa kila 1ja kuwakilisha nyimbo chache anazopenda kutusikilizisha
Naanza kama Dj wenu
Sikilizeninyimbo hizi
Right Round wa Flo rida
Nimependa beats za huu wimbo nadhani...
Katika ukurasa hii kila mzalendo atakuwa na haki ya kutukumbusha kikosi cha timu na akumbushe pia ni tukio gani lililopelekea asikisahau kikosi hicho.
Kwa kuanzia basi naanza na kikosi cha Gor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.