Ninayo lakini ni kubwa sana na nimejaribu kila namna kuwaletea hapa nimechemsha. Ni 5GB in size...
Kuna jamaa yangu yupo Dar ana nakala ya game hii, mnaweza kunifahamisha nikawaunganisha nae wale...
I don't want to believe she has joined the washed up celebrities ambao hawapati tena movie deals etc etc.
Tv Commercial
One of the entertainment icons of the 1990's returns - bigger and...
karibu mpendwa msikilizaji kutusikiliza live, burudani, soga n.k! BONYEZA KUTUSIKILIZA LIVE
Utaweza kutupigia simu baada ya saa moja hivi na kuzungumza nami live kuhusu yaliyotokea Bungeni wiki...
OK, this ones a little catchy.
Watch the head nodding and sh*t if youre at work.
What say you, Tz folks !
LIstern Here Enjoy below Jiggas image click play sign
Its Jigga...
wanaJF tukio hili linaashiria nini?.....hii ni taswira ya macho angani......Taswira hii ilinaswa magharibi mwa Ukraine wakati wa kiangazi uliopita ambapo kulikuwa na mvua kubwa na radi...
Wapendwa Watanzania,
Napenda kuwapa habari njema za mwanadada, mwanamuziki, mtunzi mahiri, Nakaaya Sumari, ambaye mwaka jana alitoka na kibao chake kikali, "Mr. Politician", sasa amethibitisha...
Kwa wale wapenzi wa 24 it is back and we can see that YNIM aka Prime Minister Matobo is under siege :confused:huku Nyani aka Col. Dubaku is having a field day
Leave it to Mchungaji aka Bill...
5000 candidates assembled in a large room. One candidate is a man from Bongo.
Bill Gates: Thank you for coming. Those who do not know JAVA may leave.
2000 people leave the room.
Man from Bongo...
Mi nadhani mabadiliko ya playlist clouds FM yana mvuto zaidi kwa wasikilizaji sijui wadau mnasemaje....manake ukilinganisha na kipindi cha nyuma kidogo ukwlei ni kwamba ilipoteza muelekeo kabisa...
taarifa ni kuwa baada ya FM aka poster mwenzetu humu kufanya ukarabati watu bado wanaendelea kuichunia na matokeo yake Bill pamejaa watindiga,wanyalukolo,wanyakyu na washamba wengineo ambao...
Singer Chameleone in another accident
Darius Mugisha &Andrew Bagala
Kampala
Artiste Joseph Mayanja aka Chameleone has been hospitalised at Kololo Hospital with severe injures on the face...
Nyani,
So you wanna be a hardcore, with your hat to the back..but I can't feel that hardcore appeal...you the hustler playing ngina you'll get screwed and bruised up from the beretta whipping...
Bilicans wameweka camera.Sasa sijui ni kwa ajili gani?unaweza angalia kwa makini picha hii niliyoitoa kwa michuzi.Nilisiakia Club hii imefunguliwa Jana hivyo nikaamua kupita katika Blog kupata...
Kama nilivyoahidi hii leo asubuhi, tumeweza kuwawekeeni taarab chache kwa leo.
Tutaongeza nyingine ifikapo kesho kuweza walau kukidhi mahitaji ya wengi.
Zipate hapa:
Taarab
Ahsanteni.
Za leo wakuu, jamani natafuta sana alabumu mmoja ya taarabu yenye ule wimbo wa "wape wape ee vidonge vyao, wakimeza wakitema....". Na ikiwezekana na zile zote leatest. Asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.