Awali ya yote natangaza nina maslahi na hifadhi ya jamii. Pili, mimi siyo mwanasheria. Kwa hiyo inawezekana nimeelewa isivyo. Na, tatu: haya ni maoni binafsi yenye lengo la kuboresha nia njema ya...
President Nana Addo Dankwa Akufo-Addo’s remarks at a meeting with French President Emmanuel Macron have left many praising him.
Find below 12 of the statements he made at last Thursday’s meeting...
Inavyoonekana pamekuwa na mkanganyiko wa kudahili wanafunzi vyuoni mwaka huu 2017/18. Baadhi ya wanafunzi wamepata admission nyinginyingi kutegemea ufaulu wao, wakati wengine wamekosa hata...
TLDR; Watumishi wasio na vyeti vya ufaulu kidato cha nne, na hawajadanganya sifa zao, wengine wana sifa zilizozidi au zilizo sawa na cheti cha kidato cha nne kutokana na uzoefu na mafunzo mengine...
Hivi pana sheria yoyote inayozuia biashara kufanyika usiku na mchana, siku saba kwa wiki (24/7) hapa Tanzania? Ni kwa nini basi biashara hizo hufungwa mapema, wakati wale waliokuwa maofisini...
Nianze na kusema, nina shitariki ya mawazo ya udogo wa serikali (small Government), na, haki na wajibu kwa mtu binafsi (individual rights and responsibility); mawazo yanayoweza kujumuishwa kwa...
Elimu ya Ufundi Katika Utumishi wa Umma
Serikali imeamua kutekeleza kwa vitendo uamuzi wake wa kutokuwa na watu wasio na elimu ya kutosha katika utumishi wa umma. Katika kutekeleza hilo, Serikali...
Haijalishi ukubwa wa harusi uliyofanya kitu cha muhimu ni unachokwenda kukijenga baada ya harusi, baada ya watu wote kuondoka na kuwaacha peke yenu mwende nyumbani, mkaanzishe maisha yenu...
Greetings Great Thinkers!
President of Ghana Nana Akufo-Addo, 73, of NPP party who was inaugurated on 07/01/2017 has embarked on a remarkable journey to revolutionize and reform the economy and...
Guys... Who is legal advisor wa Rais Magufuli? Au advisor wa namna yeyote ile?
Hii ziara ya Pwani yametokea matamko ya Rais ya kusema "katika utawala wangu" but kwangu naona hakuna jitihada...
Ni miezi 15 tangu awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli na kaulimbiu za HapaKaziTu na Utumbuaji zilipoingia madarakani na kuongoza Taifa.
Pamoja na shauku kubwa ya wananchi na Taifa zima kuona...
Wadau salaam,
Kwa kawaida uamuzi wa kujenga taifa lenye watu wa aina fulani u mikononi mwa wananchi wenyewe na wananchi ni mimi na wewe. Kwa hiyo mchango wako wewe na mwingine na mwingine (uwe...
Siku zetu zinakwisha hapa duniani tukiwa tumevaa miili tofauti kwenye uhai wetu. Kwanza utoto kisha ujana na uzee. Tunaishi, tunakufa tunaacha kizazi kingine kikiendelea kuishi.
Maisha yetu hapa...
Kuna kitu kimoja kimeendelea kwa muda mrefu sasa na si ajabu tangu tupate Uhuru wetu nacho chaendana sambamba na jinsi Chama Tawala (TANU/ASP mpaka sasa CCM) ambapo kuna nguvu kubwa sana za...
Utangulizi
Serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais J.P.Magufuli (CCM) imeanza kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha (2015-2020) kwa mujibu wa katiba ya JMT(1977).
Vipaumbele vikuu vya serikali...
SAFARI YA DODOMA
Uamuzi wa kuhamia Dodoma ni tukio la 'kushtukiza' lililopokelewa kwa mshawasha na hisia
Ni tukio lilozua taharuki kwa taasisi, watendaji ,wafanyakazi na jamii kwa ujumla
Kadri...