Habarini wana jukwaa, kwa muda mrefu sijashiriki katika jukwaa hili ingawa mara kadhaa nimekuwa nikiingia kama mgeni, kuna jambo ambalo nahitaji undani wake kama kuna mtu ambaye atakuwa anaelewa...
Hivi nyie mnaendeshaje hii. Ebu nijibuni ni lini tutaanza kutumia currency moja mana sasa hv hatuelewi huu mfumo wa kutumia noti za aina mbilimbili utaisha lini? Wageni wanatuona nchi nzima kama...
Heshima yenu wakuu.
mimi nmejaribu kujiuliza baadhi ya mambo yananichanganya lakini bado yanaendekezwa.
ukiangalia noti mpya zilizotoka zimeharibu historia ya Tanzania.hizo noti zinasomeka...
Viongozi wa dini ya kiislaam mkoa wa DSM wamelaani mauaji ya canar Ghadaffi.
Wamesema Ghadaffi amejanga misikiti mingi sana barani Africa ikiwamo Tanzania.
Pia wamesema pale Dodoma Ghadaffi...
CCM walitangaza Kuvuana Magamba Kukinusuriu Chama, kwa Kuanzia Wakawapoint wananchama wake Watatu kwamba Ndiyo Magamba Ndani ya Chama na kwamba wakijivua Uanachama pamoja na Nafasi zao zote basi...
Kwa mujibu wa taarifa zilizotoka jana kutokana na utafit ulofanywa kuhusu rushwa Afrika mashariki na kati, Tanzania katika nchi tano za ukanda huo imepanda hadi kuwa ya tatu,tofauti na ambavyo...
tanzaniaaaaaaaaaa tanzaniaaaaaaaaaaaaaa nakupenda kwa moyo woooteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeehnchi tamu tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jina lako ni tamuu...
Nimekuwa nisikia watu wengi wakidai kuwa vijana wa Libya huwa wanalipiwa maali, wana pewa nyumba n.k wanapo-oa. Mbali na hilo nilishasikia kwamba huduma muhimu za kijamii kama vile maji, umeme na...
kwa wanywaji wa beer wanaijua beer ya WINDHOEK. Kinywaji hiki kinautangaza mji mkuu wa nchi ya Namibia unaoitwa Windhoek. vipi Tanzania Breweries (TBL) wasiutangaze mji wa Dar es salaam kwa...
Ndg.wanajamvi mimi na wengine 2napenda kujua,hivi ni nchi ngapi au zipo?ambazo zinatoa huduma kwa wananchi kama alivyokuwa Gaddafi na walibya.Make watz wengi sasa point yao juu ya Libya ni kuhusu...
Jana kulikua na hali tete pale UDSM hasa baada ya wanafunz wa chuo hiko kuanza kunyanyua mabango na pia kumzomea!kwao wao ndo ilikua ndo njia pekee ya kufikisha ujumbe huo kwani hawakua na njia ya...
Mwendesha mashtaka mkuu ezekiel feleshi amewasilisha hati ya kufuta kesi iliyokua ikiwakabili watu 2 akiwemo meneja muhindi wa hotel ya SBR.
Wana jf ina maana yule kijana kauliwa na nani...
Jamani wadau binafsi nina watu 20, na wazee wakiwemo ambao wamekubali kusaidia kuitoa CCM madarakani kwa kuinyima kura zao 2015.JE WEWE UMEWAELIMISHA WANGAPI JUU YA UMUHIMU WA KUPIGA KURA NA...
Wapendwa salam,
Shirika la utangazaji la Taifa TBC limekuwa likirusha vipindi maalumu kadhaa featuring makampuni na authorities kama TANESCO na EURA to name the few, katika vipindi hivi ambavyo...
What ever the truth is about the man killed in Pakistan and dumped 'Islamically', but in secret, into the Arabian Sea, whether that man was Osama Bin Laden or not, in his real life, Osama Bin...
Wakuu nipo ndani ya al saedy natoka dom naelekea dar, kwa naomba zile namba za maofisa wanaohusika na usafiri naskia walitoa juzi ili kikiwaka tu nitoe taarifa.....safari njema kwangu
Wanafunzi UDSM wachafua hali ya hewa ujio wa JK
Source: Mwananchi Thursday, 20 October 2011
By Fidelis Butahe;
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) jana walichafua hali ya...
Ndugu Mwana JF,
Unatoa ushauri gani kwa hawa watu waliojihalalishia nyumba za serikali??endapo serikali nyingine itaingia madarakani kutoka nje ya CCM??na wakati wameishashusha maghorofa??
Je hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.