Ndugu wapendwa napongeza kwa viongozi wa vyma vya wafanyakazi katika kudai maslahi yao,..kwa upande wangu napendwa kuwaweka wazi hata mwenyekiti wa hivyo vyama,..vyama hivi hivi vimekuwa...
Mbunge wa Mbarali, mkoani Mbeya, Esterina Kilasi (CCM), amezua mjadala na malalamiko kutoka kwa wanachama na viongozi wa chama hicho katika wilaya hiyo, baada ya kuwamwagia makatibu wa siasa na...
The Guardian - 24th March 2010
About 720 pupils squat on the floor for eight hours daily
Only 17 teachers for 1,080 pupils; two toilet holes for all...
Hi Jf
Tupeane updates ni wapi sehemu ya vituo vya uandikishaji updates za daftari la wapiga kura
Binafsi nataka kujua Sinza ni sehemu gani, na wengine pia watakuwa wanataka kujua sehemu gani...
Jamani kwa wale tulioko Bongo, hasa tunaotumia ulabu aina ya Tusker tunateseka sas hivi maana Tusker zimeadimika kwenye mastarehe yetu. kuna anayejua nini kimetokea?
By David Leonhardt
updated 8:05 a.m. ET March 24, 2010
For all the political and economic uncertainties about health reform, at least one thing seems clear: The bill that President Obama...
Hebu leo tuangalie mfano huu wa imani kwa kusoma habari hii ya mwanamke aliyekuwa akitokwa na damu, katika kitabu cha Marko 5:25-34.
Nitanukuu
Na mwanamke mmoja mwenye kutoka damu muda wa miaka...
Wakuu,
Niko kwenye hard time!
Nimeachiwa familia ya Mzee mmoja ambae ameenda zake kijijini kulima baada ya kustaafu, ili niwaangalie watoto wao, lakini wanaendelea kuishi kwenye nyumba yao...
The government is finalizing the process of re-possessing all shares in Tanzania Telecommunications Company (TTCL) after Zain pulled out of the partnership.
Communications, Science and Technology...
Kila sekunde moja wanazaliwa watoto watano hapa duniani, na wakati huo huo watu wawili wanafariki dunia, achilia mbali zile mimba zinazoharibika.
Maana ya tofauti hiyo kati ya vizazi na vifo ni...
SHEHENA ya kontena 20 za betri aina ya Tiger Head kutoka China zimekamatwa kutokana na kukosa ubora na viwango vya matumizi ya bidhaa hiyo.Kontena hizo zimekamatwa katika operesheni ya Shirika la...
Asia:
Vijana hukaa na wazazi hadi anapofikia wakati wa kuoa na akisha oa au kuolewa huchagua mzazi mmoja na kuishi kwake kwa muda fulani ndipo huanza maisha.
Australia:
Mabinti huwaomba...
WANAFUNZI wa vyuo vya elimu ya juu nchini wamemcharukia Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Jumanne Maghembe kutokana na agizo lake la kufuta mfumo uliopo wa serikali za wanafunzi katika...
Wana JF,
Jana nilikuwa na Dine na rafiki yangu mmoja, binti wa Kijerumani katika mghahawa mmoja marufu ulioko maeneo ya Masaki..
Yeye, yuko hapa nchini kama Expert akiwa anafanya kazi katika...
HUENDA ikawa ni swali la jumla mno kuelekea uchaguzi na nini wapinzani wafanye. Ukiangalia historia ya uchaguzi, tangu ule wa wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 maswali mengi yanajitokeza...
wanajamii mnaikumbuka hii miaka hiyo yaani vitabu vile vilikuwa na mafunzo sana na maadili pia kwa tuliosoma enzi zile tujikumbushe bas kwa hadithi hii kisha tuitolee maoni
Brown ashika tama...
Kila mgombea nayemsikiliza anasema wananchi wameniomba nigombee niwe kiongozi wao wameniona nafaa.....mimi huu msemo hauningii kichwani hata kidogo.
Nafikiri wewe kama kiongozi au unataka kuwa...
Tanzania yesterday lost its bid to sale part of its ivory stockpile by single vote.
The Convention on International Trade in Endangered Species (Cites) meeting in Doha, Qatar, rejected the...
Kuna wanawake wengine bwana wameolewa lakini mambo yao tofauti utasema wenzangu na mie tunaotafuta kupiga mizinga;utakuta mwanamke kaolewa ana mume mlokole ama ametulia lakini kutwaa akirudi...
MWENYEKITI wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia amesema chama chake kitamuunga mkono Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema) endapo atagombea ubunge katika jimbo lolote mkoani humo.
Sambamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.