Habari wana JF
Naomba kuuliza maana hapa ni kitu cha ajabu nimesoma gazeti la Tanzania Daima askari wanalalamika kuhusu ugawaji wa nyumba je ni sahihi kama mtu kwa wanawake kutoa ngono na kwa...
Ndugu wana JF, mara nyingi nimekuwa nikishuhudia jinsi madereva wetu wasivyofuata alama za wenda kwa miguu. Siku moja nilishuhudia kiwete mmoja akivuka kwenye alama za wenda kwa miguu halafu gari...
Jerry Muro ameweza kuthibitisha kuwa bunduki na pingu alikuwa akizimiliki kihalali.
Kauli alizokuwa akizitoa Kova kwa vyombo vya habari zilikuwa ni za ukandamizaji na zilikuwa zinaonyesha bayana...
Mwishoni mwa wiki iliyopita kulitokea vurugu kubwa shule ya Sekondari St. Mathew's kule Kongowe. shule hii inamilikiwa na bwana Mtembei. Sababu ya vurugu hizi ni vijana waliomaliza kidato cha...
Wanajamii,
Nimetokea kuipenda sana Mboga ya mchicha kwani ina faida nyingi sana katika mwili wa mwanadamu.
swali: Haya maji yanayotumika kumwagilia mchicha hapa Dar huwa yanatoka wapi?
Mto...
Wandugu salaam,
hii ipo kama jokes lakini ni habari ya kweli ambayo imetokea hivi karibuni hapa mjini,
Kuna kijana alitoka kijijini akaja hapa dar kwa mjomba wake, baada ya kukaa kama siku tatu...
Ukijaribu kuchunguza katika sehemu nyingi kubwa zinapotolewa huduma za afya (hospitali), katika logo zao utakuta kuna alama ya nyoka au kwa kitaalamu 'caduceus'. Inasemekana kwa zamani ilikuwa...
Serikali imesema haijashtushwa na matokeo mabaya ya shule za sekondari za kata na imewashangaa watu wanaozibeza shule hizo.
Hayo yalisemwa jana jijini Dar es salaam na Naibu Waziri wa Elimu na...
wakuu,nakumbuka kipindi nasoma hasa history vitabu viliandikwa jinsi mwanadamu hasa mwafrika alivyobadilika badilika mpaka kufikia kuwa kama hivi tulivyo,na mpaka sasa kuna documentary nyingi sana...
http://www.youtube.com/watch?v=2Uw8fcL8ZJM
play no 8 na 9 kwenye related video ujionee.
mambo haya natamani yangekuwepo bongo maana mafisadi wangekoma na nchi ingenyooka maana mtu mzima kala...
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Mkata iliyopo kwenye mji mdogo wa Mkata Wilayani Handeni, Habiba Abdallah, amejifungua watoto watatu kwa kufanyiwa upasuaji.
Habiba...
KIJANA Musa anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20-25, amegongwa na gari wakati akitoroka matibatu katika hospitali ya Temeke ya jijini Dar es Salaam.
Akitoa taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi...
Heart of Gratitude!!!
A blind boy sat on the steps of a building with a hat by his feet. He held up a sign which said: "I am blind, please help." There were only a few coins in the hat.
A man...
17th February 10
Moto wa ajira sasa wafukuta Bandari
Mwandishi Wetu
Moto umeanza kufukuta katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini, (TPA), ambapo wafanyakazi wamemshutumu Mkurugenzi wa...
HANDBOOK 2010
Health:
1. Drink plenty of water.
2. Eat breakfast like a king, lunch like a prince and dinner like a beggar.
3. Eat more foods that grow on trees and plants...
Watu watatu wamekufa na mwingine kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari wakiwa wamebebwa kwenye pikipiki mkoani Pwani.
Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Absalom Mwakyoma, alisema ajali hiyo ilitokea...
Kehinde Wiley paints African football
February 11, 2010 · 1 Comment
The German shoe and sportswear company, Puma, sponsors at least 12 African national football teamsfive of which...
Enter Rwandan President Paul KAGAME, Ugandan President Yoweri MUSEVENI, and Libyan President Muammar QADDAFI. A corpulent Kenyan President Mwai KIBAKI sits on the sofa, stuffing his face with...
Yaliyotokea mkoani Mara yanatishia sana amani ya nchi yetu.
Hofu sasa imeanza kutanda, amani hamna tena,
ukiwa na mali japo kidogo tu, maadui wengi wanaibuka kila kona.
jeshi letu la kutulinda...
Tiny Toad, Big Mission
kihansi-toad
The Kihansi spray toad, which has hopped into oblivion in its native home of Tanzania, has found a safe haven at the Wildlife Conservation Societys Bronx...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.