Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari wana JF Naomba kuuliza maana hapa ni kitu cha ajabu nimesoma gazeti la Tanzania Daima askari wanalalamika kuhusu ugawaji wa nyumba je ni sahihi kama mtu kwa wanawake kutoa ngono na kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, mara nyingi nimekuwa nikishuhudia jinsi madereva wetu wasivyofuata alama za wenda kwa miguu. Siku moja nilishuhudia kiwete mmoja akivuka kwenye alama za wenda kwa miguu halafu gari...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jerry Muro ameweza kuthibitisha kuwa bunduki na pingu alikuwa akizimiliki kihalali. Kauli alizokuwa akizitoa Kova kwa vyombo vya habari zilikuwa ni za ukandamizaji na zilikuwa zinaonyesha bayana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwishoni mwa wiki iliyopita kulitokea vurugu kubwa shule ya Sekondari St. Mathew's kule Kongowe. shule hii inamilikiwa na bwana Mtembei. Sababu ya vurugu hizi ni vijana waliomaliza kidato cha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanajamii, Nimetokea kuipenda sana Mboga ya mchicha kwani ina faida nyingi sana katika mwili wa mwanadamu. swali: Haya maji yanayotumika kumwagilia mchicha hapa Dar huwa yanatoka wapi? Mto...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Wandugu salaam, hii ipo kama jokes lakini ni habari ya kweli ambayo imetokea hivi karibuni hapa mjini, Kuna kijana alitoka kijijini akaja hapa dar kwa mjomba wake, baada ya kukaa kama siku tatu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukijaribu kuchunguza katika sehemu nyingi kubwa zinapotolewa huduma za afya (hospitali), katika logo zao utakuta kuna alama ya nyoka au kwa kitaalamu 'caduceus'. Inasemekana kwa zamani ilikuwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Serikali imesema haijashtushwa na matokeo mabaya ya shule za sekondari za kata na imewashangaa watu wanaozibeza shule hizo. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es salaam na Naibu Waziri wa Elimu na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu,nakumbuka kipindi nasoma hasa history vitabu viliandikwa jinsi mwanadamu hasa mwafrika alivyobadilika badilika mpaka kufikia kuwa kama hivi tulivyo,na mpaka sasa kuna documentary nyingi sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
http://www.youtube.com/watch?v=2Uw8fcL8ZJM play no 8 na 9 kwenye related video ujionee. mambo haya natamani yangekuwepo bongo maana mafisadi wangekoma na nchi ingenyooka maana mtu mzima kala...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Mkata iliyopo kwenye mji mdogo wa Mkata Wilayani Handeni, Habiba Abdallah, amejifungua watoto watatu kwa kufanyiwa upasuaji. Habiba...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
KIJANA Musa anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20-25, amegongwa na gari wakati akitoroka matibatu katika hospitali ya Temeke ya jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heart of Gratitude!!! A blind boy sat on the steps of a building with a hat by his feet. He held up a sign which said: "I am blind, please help." There were only a few coins in the hat. A man...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
17th February 10 Moto wa ajira sasa wafukuta Bandari Mwandishi Wetu Moto umeanza kufukuta katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini, (TPA), ambapo wafanyakazi wamemshutumu Mkurugenzi wa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
HANDBOOK 2010 Health: 1. Drink plenty of water. 2. Eat breakfast like a king, lunch like a prince and dinner like a beggar. 3. Eat more foods that grow on trees and plants...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu watatu wamekufa na mwingine kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari wakiwa wamebebwa kwenye pikipiki mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Absalom Mwakyoma, alisema ajali hiyo ilitokea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kehinde Wiley paints African football February 11, 2010 · 1 Comment The German shoe and sportswear company, Puma, sponsors at least 12 African national football teams–five of which...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Enter Rwandan President Paul KAGAME, Ugandan President Yoweri MUSEVENI, and Libyan President Muammar QADDAFI. A corpulent Kenyan President Mwai KIBAKI sits on the sofa, stuffing his face with...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Yaliyotokea mkoani Mara yanatishia sana amani ya nchi yetu. Hofu sasa imeanza kutanda, amani hamna tena, ukiwa na mali japo kidogo tu, maadui wengi wanaibuka kila kona. jeshi letu la kutulinda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tiny Toad, Big Mission kihansi-toad The Kihansi spray toad, which has hopped into oblivion in its native home of Tanzania, has found a safe haven at the Wildlife Conservation Society’s Bronx...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom