Mtu anafikishwa hospitalini akiwa hoi bin taabani, eti matibabu hapati mpaka PF3 kutoka polisi. Nimetembea sehemu nyingi duniani na jukumu la kwanza la vituo vya afya ni kusave life.
Hapa kwetu...
Kutoka mtandao wa Wavuti.........
By RASNA WARAH, December 27 2009
THE GENERAL CONSENSUS is that unlike Tanzanians, Kenyans tend to be a brash, crude and arrogant lot who dont care much for...
For sale on eBay: 'Eight unopened Christmas presents from my cheating boyfriend'
Last updated at 11:34 AM on 29th December 2009
Heartbroken Leanne Joseph has listed her unopened...
Hivi karibuni kumekuwa na minong'ono kuwa maji ya uhai sio salama. Kwa kuthibitisha hilo, chupa nyingi ukizitazama kwenye kitako zina kovu linalosadikika ni kutokana na kuzibwa kwa super glue...
Kwa wale wanaotoka sehemu ambazo tetemeko la ardhi hutokea mara kwa mara hasa maeneo ya Rungwe na mengine ni muhimu kuzingatia tahadhari na ushauri utelewayo na wataalaum wa matetemeko ya ardhi...
Six cabinet ministers are visiting China for talks with the Chinese government on ways to rescue the ailing Tanzania and Zambia Railway Authority (Tazara) from total collapse.
Impeccable...
HOW TO RECRUIT THE RIGHT PERSON FOR THE JOB?
Put about 100 bricks in some Particular order in a closed Room with an Open window.
Then send 2 or 3 candidates in
The room and close the door...
Wakulu habari zilizovunjika hivi punde kutoka mkoani Manyara maeneo ya Magugu ni kwamba kuna daraja limevunjika linalounganisha mkoa wa Manyara na mikoa ya Singida, pamoja na wilaya za Babati na...
''Sasa,uko tayari kufanya mtihani ili tuweze kufahamu kiwango cha vipaji vyako? Tunataka tukuchukue katika matembezi katika astral,na katika dunia chini ya astral,tunataka tukupitishe kama ghost...
I would like to ask my Muslim brothers and Sisters, is there any honour in killing?
UN estimates that the annual worldwide total of honor-killing victims may be as high as 5,000 mostly Muslim...
mamlaka ya mawasiliano TCRA imeongeza muda wa kusajili line za simu hadi 30 juni 2010, wale waliokuwa wanatuchukulia pesa zetu kisa eti ugumu wa kusajili wameula wa chuya.
Tumekuwa ni mabingwa wa kuwa na ndoto,
tunaota ndoto nyingi za maendeleo,
nataka kufungua mradi wa shamba, nataka nianzishe biashara ya bajaj,
nataka nijenge nyumba,
nataka, nataka nataka hatuweki...
Jamani nimekuwa nikisoma magazeti na makala mbalimbali hapa Jamii Forums,
lakini cha kushangaza ni hili jimbo la uchaguzi la Kyela, sijui kwa nini limekuwa likiongelewa sana kuliko majimbo mengine...
IMEDAIWA kuwa ndani ya miezi mitatu kati ya Julai hadi Septemba mwaka huu watu wapatao 4072 wameambukizwa virusi vya ukimwi katika Manispaa ya Kionodnoni jijini Dar es Salaam
Hayo yalijulikana...
Wadau, nashukuru mungu nimerudi mjini baada ya katripu kafupi... nimeimiss sana JF hasa kwa kukosa habari nzito na nyepesi na pia hoja nzito na nyepesi na vimbwanga vyote kwenye majukwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.