Jamani natamani kununua nissan xtrail; tafadhali nawaomba wanaozijua hizi gari wanipe ushauri kama ni gari nzuri za kununua. Ushauir tafadahli. Thanx in advance
Wikiendi iliyopita, gazeti hili lilituma waandishi wake katika kona mbalimbali jijini Dar es Salaam ili kuona hali halisi ya biashara ya ukahaba, sambamba na kupokea nukuu za wanawake wanaofanya...
Bado sijafikia kuamini kuwa kiu yetu ni kuona watuhumiwa wanajiuzuru tu bila hatua zaidi kuchukluliwa dhidi yao.Akina Johnson mwanyika,arthu mwakapugi,na wengine sioni kama ni haki...
Ile bustani ya forodhani pale zanzibar kwa watanzania wote tuna la kujifunza. La kwanza ni USAFI, hili eneo usiku mambo yanayopatikana pale kwa waliofika ni bites,juice hata uwanja woote unajaa...
Upendeleo kwa mtoto mmoja
Swali:
Nataka kujua zaidi katika malezi ya watoto kuna kitu inaitwa parental favouratism.
Iwapo mtoto mmoja anajisikia kutopendwa sana kama mwenzake au wenzake na...
Tuesday, October 20, 2009
Usisahau kutaja jina lake!
Mke si barabara asiwe na jina!Tendo la ndoa ni sanaa kama sanaa zingine na hakuna mtu anaweza kukufundisha kwamba unapotaka kuwa mwili...
Wabongo bana sijui tukoje!
Inakuwaje hatuwi wakweli ikija kwenye masuala ya kushirikiana kikazi/kibiashara? Kwa nini tunapenda kupeana matumaini yasiyo na matumani? Nimekuja kwako kuongea nawe...
Enyi Watanzania wenzangu hebu niambieni,KWANINI ICT TUMETAWALIWA NA WAHINDI?Jaribuni kuangalia kampuni zote Tanzania zinazojihusisha na mambo ya IT.Je wao wananini cha zaidi ya kutushinda sisi...
Hellow great thinkers,
Juzi, na jana kumekuwa kukivurumishwa baruti na wahindi
kwa kiwango kisicho cha kawaida.
Enzi za Kamanda Tibaigana hawa jamaa walipewa saa moja tu kuvurumisha hayo mafataki...
By Bernard James
The Citizen
October 21, 2009
Two men who presented themselves in court as sureties for a senior Bank of Tanzania (BoT) official charged along three others allegedly for the loss...
UGONJWA wa kuhara ambao umeripotiwa kuwa wa pili kuwakumba Watanzania wengi baada ya Malaria huenda ukaendelea kuwatesa Watanzania wengi iwapo utaratibu wa kunawa mikono kabla ya kuandaa chakula...
Jana nilikua pale mlimani city sasa nilikua nataka kununua kitu fulani lakini nilikua na upungufu wa pesa, sasa kwa sababu eneo hilo lina ATM nikaamua kwenda kwenye hii bank ya makabweli lakini...
Kwa wale wanaojua maandiko, naomba msaada wenu
Inakuwaje Yesu acholwe akiwa wa kizungu, lakini shetani anachorwa akiwa wa kizungu?
Je huu sio udhalilishaji kwetu waafrika?
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema mgao wa umeme ulionaza huko Tanzania Bara hautovikumba visiwa vya Zanzibar kwa kuwa wao ni walipaji wazuri huduma hiyo.
Naibu Waziri wa Maji, Ujenzi...
Wakulu ni muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa takwimU zinasema kuwa idadi ya wanawake ni wengi kuliko ile ya wanaume wanaoshi dunia kwa muda wote!
Mbaya zaidi nikasikia kuwa kwa siku za hivi...
Nasikitika kuwatangazia kuwa meneja wa uwanja wa taifa amefariki,
Meneja huyo ni ndugu Masanja, amefariki leo kwa ajari baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba,
Marehemu Massanja jana alikuwa...
Sijui kama ni mimi peke yangu ndo nakereka na hii tabia ya ofisi za serikali na oftisi zingine nyingi zenye simu za landline unapopiga hazipokelewi, yaani ni masaa ya kazi unapiga simu inaita wee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.