Nimetaarifiwa kuwa kuna maandamano ya amani ya watu kiasi cha 200 mpaka 300 aykitokea Haile Saleisi kuelekea Ocean Road yamesababisha magari yasiende, kuna mtu ana taarifa yanahusu nini haya...
MWANAFUNZI wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Miyui mjini Dodoma amelazimika kuacha shule baada ya kupata ujauzito huku akishindwa kutambua baba wa mtoto aliyepo tumboni kwa maelezo kuwa...
TUNAPOZUNGUMZIA 'Global Village'yaani hali ya kuifanya Dunia kijiji kimoja kama
hatua kubwa ya kimaendeleo ya kukua kwa sayansi na teknolojia ni lazima pia
tuangalie na kuzingatia hasara...
Nina flyer ya mtandao wa Zain kuna unlimited data Bundle 100,000/= Lakini kuna fine print "fair usage will apply" kuna mtu ametumia hii service anaweza kutuambia kama ni unlimited au limit yake ni...
Ndugu wauana kwa Ugomvi wa kuangalia Luninga
12/26/2008 5:07:48 AM
MFANYAKAZI wa bustani, Innocent Elihuruma [19] wa Mikocheni B, Dar es Salaam amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi...
Askofu: Serikali ikaze uzi kwa mafisadi
John Nditi, Morogoro
Daily News; Friday,December 26, 2008 @00:02
Kanisa Katoliki nchini limeitaka Serikali ya Awamu ya Nne kushika hatamu katika...
Hii nimeikuta kwenye Blog ya faza Kidevu na kwa kweli nimekasirika na kusikitika sana kuona kweli Tanzania Mama anaweza kumpa mtoto kileo katikati ya watoto wanaosherehekea sikukuu na ionekane ni...
When I sit down to ponder I really go to the high seas.I often discover that for so many generations our faculties have been immersed in complete darkness which is impossible to clear.For...
For quiet some time now I have been hearing about Project MK-ULTRA or MKULTRA,allegedly a name for covert CIA mind control and chemical interrogation research program run by the Office of the...
MKAZI wa kijiji cha Monuna kilichopo kata ya Nyambureti Wilayani Serengeti, James Juma [22] amekufa baada ya kumwagiwa mafuta ya taa na kuchomwa moto na wakazi wakijiji cha Maburi kwa lengo la...
Jamani mimi nauliza,nauliza kwa sababu sielewi mwenzenu,yaani sielewi kabisaaaaaaa.Hivi kwa nini tunanyamaza kimya huku maadili ya jamii yetu yanazidi kuharibiwa na watu wachache,tena wageni wenye...
Armed robbery suspect commits suicide in jail: Police had nothing to do with it, RPC asserts
SEBASTIAN MRINDOKO
THIS DAY
Dar es Salaam
AN armed robbery suspect committed suicide in...
EDITORIAL: Too many lives being lost to contaminated water
EDITOR
THIS DAY
DAR ES SALAAM
SCORES of Tanzanians die each day, with many others sickened by easily preventable water-borne...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mpaka kufikia leo tarehe 24 December 2008, wafanyakazi wa serikali hawajapata mishahara yao.Wengi wanaonekana kukerwa na hatua hii ya serikali,huku wakihoji kwa...
GOVT "SAVES" 3 BN FROM GHOST WORKERS Daily News 24th Dec 2008
Wadau JF this is serious.Ati Govt saves 3bn kutokana na wafanya kazi hewa.Waziri wa Nchi (Public Service Management) amedai kuwa...
MWANAMKE mmoja ameuawa baada ya kunyongwa na mumewe kwa sababu za wivu wa kimapenzi.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Khamisi Bhai, alisema tukio hilo lilitokea katika kijiji cha...
Hivi karibuni kumekuwa na matukio mbalimbali ambayo yamedhihirisha kwamba kuna baadhi ya Watanzania ambao si waadilifu.
Tunapozungumzia kuhusu uadilifu tuelewe kuwa ni ile tabia au hali aliyo...
Wadau angalieni hii kitu je imetulia kweli???I've heard of drink driving but hii mpya!!!Nadhani this pilot alitaka kutoa sadaka ya xmas mapema.Mnaionaje hii...
Kuna tangazo linalorushwa hapa nyumbani Tz Dsm majira ya saa tatu hivi usiku na channel 10 by hakielimu halinipendezi hata kidogo, kama kuna mtu anayeweza kulirekodi nakuliweka hapa itakuwa vizuri...
UTANDAWAZI kwa jina jipya la 'globalization' pengine ni dhana mpya kwa jina lakini si kitu kipya hapa duniani. Dhana hiyo kwa leo imejaa hadaa inayowaaminisha baadhi ya watu kuwa utandawazi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.