Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

m Mtoto mdogo ambaye alikutwa hivi karibuni huko Temeke akimuuguza mama yake Mzazi. Tafakari wewe mwenyewe... (Picture by: Yahya Charahani Courtesy of Haki-hakingowi.blogspot.com)
0 Reactions
9 Replies
2K Views
It may sounds ridiculous but hey, kujifanya unajua kumbe hujui ni upumbavu! Can someone explain Rep Power to me and may be to the advantage of other members, I know it is probably quite simple...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu kipindi hiki ambapo tunaelekea kwenye msuguano wa hali ya juu kutokana na hali halisi ya mambo ya kisiasa ambayo Taifa letu changa linayapitia nimeonelea nizungumzie jambo moja. Hivi...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
  • Closed
Ni aibu ya hali ya juu mwanasiasa ambaya anasema anatetea wananchi kuficha jina lake halisi akiwemo humu JF! Binafsi nampongeza Dr. Slaa na Mh. Zitto kwa mara nyingine kuweka majina yao...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Obama team decry satirical image BBC News Online The magazine said the image "combines... fantastical images" Barack Obama's team has decried The New Yorker magazine for a cartoon...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waheshimiwa wana JF, nimevutiwa na hiki kituko cha Makamba kuzomewa na kuitwa fisadi na vijana wa kidato cha tano na sita. Hii ni dalili njema kuonyesha kwamba kuna mwamko wa kweli katika jamii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JK: Wafanyabiashara chanzo cha ufisadi Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete, amepasua ukweli mbele ya wenye viwanda, akisema kuwa, rushwa kubwa nchini zina mkono wa baadhi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tumechoka na hotuba za ufisadi, sasa ni wakati wa kuwashughulikia mafisadi wa EPA, Richmond, Kiwira n.k. Pia kwa taarifa yako wanasiasa ndiyo chanzo cha ufisadi. Porojo sasa basi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Date::7/12/2008 Kambi ya upinzani wafurahia waziri kuitosa serikali bungeni Na Kizitto Noya Mwananchi KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Isles AG joins Zanzibar-a-country furore 2008-07-12 10:15:27 By Mwinyi Sadallah, Zanzibar Zanzibar Attorney General Idd Pandu Hassan announced yesterday that he accepted Prime Minister...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
US crisis over $5 trillion loans liability White House scrambles for options to rescue mortgage companies Fannie Mae and Freddie Mac James Doran in New York The Observer, Sunday July 13...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ANALYSIS: CCM cadres' new book revisits Mkapa's troubled legacy THIS DAY IN our society, there is a group of people who felt relieved, perhaps, that the death of the country's founder Father...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Magazeti mengi ya leo Tanzania yamepambwa na taarifa za Mbatia wa NCCR kumtaka Spika wa Bunge ajiuzulu ati kwa kushabikia ushirikina Bungeni. Hii ni mara ya nne namwona Mbatia akitumika kama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu nimekuta ajali leo eneo la veta inayohusisha lorry aina ya Scania lililokuwa limebeba steel plate rolls kutoka bandarini Chanzo cha ajali hiyo inasemekana ni uzembe wa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Viongozi wetu wananipa raha sana kwenye mambo ya namna hii haa haoo! kama wametiwa umeme haikosi kusikia kila wakati kashfa zao na warembo hawa. Wasomi kibao wanakwenda mikoani kwa reseach au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shelys’ staff comprises mainly of Indian and British expatriates. Tanzanian staff is still the minority and it was mentioned by the CEO that this is a major problem. Shelys would prefer to employ...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Leo nawakumbusha maneno ya Chacha Wangwe mara baada ya kuchaguliwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA. Alifanya mkutano na waandishi wa habari pale makao makuu ya CHADEMA ambapo pamoja na mambo mengine...
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Invisible, Naomba sana ulinde tunayoandika humu. Hiyo miaka ya baadaye, iwe 20 au 50 kutoka leo, tuliyoyasema yawe ya msingi, mzaha au kebehi, yabakie kama zilipendwa na tujikumbushe...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
The Fox News Radio host that went to work for President Bush as his chief press secretary died Saturday of colon cancer. In a statement, Mr. Bush says "America has lost a devoted public servant...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom