Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Siku ya wapendanao sio siku ya impress demu wako. Kupenda ni KUTOA upendo na KUPOKEA upendo. Don't make execuse kwa mwanamke ambaye anataka kupokea tu. Mtupilie mbali. Yani kuna mtu leo...
18 Reactions
61 Replies
1K Views
Wauza maua wa NAMANGA-KINONDONI wananunua maua meupe -reject na yaliyobaki kwenye maharusi , wanapulizia rangi nyeupe na kuyauza kwa wanunuzi , Tshs 30,000 kwa bando moja ambapo maua original...
2 Reactions
3 Replies
260 Views
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi? Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria...
8 Reactions
158 Replies
8K Views
Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea! Sakata la bandari...
43 Reactions
173 Replies
13K Views
Habari za jioni wakuu, naomba kuuliza, DP world amepewa aendeshe Bandari ya Dar Pekee au zimo na za mikoani pamoja na Tanga na Mtwara? Pia kampuni ya MRC pale bandarini inajihusisha na Nini?
4 Reactions
13 Replies
462 Views
Mzee John Samwel Swai(61) mstaafu wa Jeshi la Polisi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia asiondolewe katika kambi anayoishi kwani bado hajalipwa fedha za mizigo pamoja na fedha za likizo...
11 Reactions
98 Replies
4K Views
Wenye kusema wamesema wapo waliolaani kupitishwa kwa mkataba huu wenye kushauri wameshauri njia nzuri za kuuvunja mkataba huu bila kuleta madhara makubwa watu wameziba masikio tutembee na msemo...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameitaka Serikali kueleza kwa nini mikataba ya uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam na kampuni ya DP World haijawasilishwa Bungeni ili wabunge waweze...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakati Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikikabidhi Bandari ya Dar es Salaam kwa Kampuni ya DP World, Serikali inaangalia namna ya kufanya upanuzi wa bandari hiyo ili kuendana na ongezeko la...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
  • Redirect
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amekanusha taarifa zilizozagaa mtandaoni kuwa serikali imeingia mkataba na kampuni mojawapo ya Saudi Arabia, kuwekeza eneo...
0 Reactions
Replies
Views
Dar es Salaam ni special case maana nadhani hata police wameshindwa kudhibithi ili janga, nilipata nafasi ya kutembelea huko jijiji dar in short sehemu yoyote ile ndani ya dar ukitaka utelezi ni...
17 Reactions
74 Replies
15K Views
John Peter ni nani kwake? Kwanini ametoa taarifa kwa umma ya kumlinda kwa kusema dereva alishambuliwa na kitu chenye ncha kali wakati alishambuliwa kwa risasi...
2 Reactions
3 Replies
178 Views
Wakuu habari.. Aseee nataman kuhama hapa dar, hapa mjini pamoto sana, gharama zipo juu kinoma, na matumizi ya pesa ni kila siku , just imagine hata kuuliza sehem kama umepotea wata wanaku charge...
4 Reactions
15 Replies
272 Views
Huko Indonesia shina la mgomba hutumika kama chakula baada ya ya mkungu wa ndizi kukatwa, video inaeleza process nzima
0 Reactions
2 Replies
125 Views
Msajili wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya nchini, Bi. Stella Tullo, amesisitiza umuhimu wa mashauri kumalizika kwa wakati na kwa Haki ili kuhakikisha wananchi wanapata haki za umiliki wa...
0 Reactions
1 Replies
82 Views
Zaidi ya satellite 120 za Elon musk zinaanguka toka Angani Kuna kipindi ulikua unaangalia Angani unakutana na rangi nyingi juu zinakimbia kwa kasi zikiwa mchanganyiko hizo ni satellite za Elon...
3 Reactions
7 Replies
375 Views
Ukraine imekubali kuipa Marekani madini yake yenye thamani ya $500B Moscow imepiga kelele isiyo na madhara Ulaya imefuata nyayo za Trump Marekani hadi muda huu imetumia $183 B kama msaada wa...
1 Reactions
1 Replies
267 Views
MAOMBI MAALUM YA KUVUNJA LAANA(ROHO) YA KUPOTEZA VITU VYA THAMANI VINAVYOINGIA KWENYE MAISHA YAKO... PIA KUSAMBARATISHA ROHO YA HASARA... 👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Naongea na wewe ambaye kila kitu cha thamani...
2 Reactions
6 Replies
170 Views
Serikali imeingia mkataba wa kuanza Ujenzi wa uwanja Mpya Jijini Arusha Maarufu kama Samia Suluhu Hassan Stadium ambao ni Mahsusi Kwa Ajili ya Maandalizi ya AFCON 2027. Uwanja huo utagharimu...
13 Reactions
156 Replies
10K Views
Back
Top Bottom