Hii inatrend nw na wanasayansi wanasema hii inaprove ile kitu inaitwa time travelling kuwa inaexist,hapo ni mwaka 95 ktk pambano la Tyson,mwaka huo smartphone hiyo technology ilikuwa haijaingia...
Hii imetokea huko sauzi
AMBAKA BIBI YAKE
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 amekamatwa na polisi kwa kosa la kumbaka bibi yake mwenye umri wa miaka77 huko Mhlava Cross Tzaneen Limpop.
Polisi...
Wakati Dunia nzima inaangalia na kuhuzunika kuhusu mazishi ya Mohamed Ali, Raisi Obama amefanya kile ambacho hukifanya siku zote usanii, ameenda kwenye comedy show na hii ni leo 09/06/2016 siku...
Kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano White House imesema Kuwa Rais Obama Na Mkwewe hawatahudhuria Mazishi ya aliyekua Bondia nguli Ulimwenguni Hayati Muhammad Ali aliyefariki juma lililopita viongozi...
Rais wa Gambia, Yahya Jammeh amepiga marufuku muziki, ngoma na matamasha yote ya starehe kipindi cha Ramadhani. Ukikamatwa imekula kwako.
Watu wa Gambia wameambiwa wamripoti mtu yoyote ambaye...
Haya kumekucha huko USA baby na mauaji ya haraiki yakiendelea,
Inakadiliwa watu zaidi ya 20 wameuawa kwa kupigwa risasi na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa katika klabu ya usiku
Mpigaji risasi...
The United States is in International Relation terms known as a ‘Great Power’. A country with an incredibly strong voice on the international arena and influence in all parts of the world. Hence...
Refugee camp in Dusseldorf is burned down by migrants 'who were furious they had not received a wake-up for Ramadan breakfast'
Huge fire ripped through refugee centre, home to 280 migrants, on...
Wenye maduka wanapatiwa mashine za scan Kaskazini ,mwa Manchester nchini Uingereza ili kuzuia ugonjwa wa mapafu miongoni mwa wavutaji sigara.
Kwa mara ya kwanza ,mashine hizo zitawekwa katika...
Vyama vya upinzani vinavyoongoza huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo - DRC vinasema vimejipanga chini ya mwamvuli mmoja unaoitwa "Ressembement" au Rally " ili kumlazimisha Rais Joseph Kabila...
Rais huyu wa zamani ameonekana amekuwa kivutia ktk tamasha la kumuaga bondia nguli MOHAMEDI ALI..
Lakini si hivyo tu, kati ya watoa mada mmoja aliyepata fursa ya kuzungumzia maisha ya ALI...
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alimshawishi mwanamume, aliyetaka kujiua kwa kujirusha kutoka kwa daraja, kubadilisha nia yake na kutojiua, afisi yake imesema.
Mwanamume huyo alikuwa amepanga...
June 13, 2016 at 3:19 pm
By Jean de la Croix Tabaro
An eckocenter built to benefit Ruhunda community in Rwamagana district
President Paul Kagame has today officially launched a health center...
KAMPALA, June 8 (Reuters) - Following are highlights of budgets for the fiscal year 2016/17 for Uganda, Tanzania and Rwanda.
The budget announcements are coordinated among most governments across...
Youth Activist| PanAfricanist | Community Helper |Positive Thinker | Change Maker | #Rwanda-n Co-Founder Youth Civic Engagement Program @YouthCivicRw
4 days ago5 min read
I. #Rwanda 22 years on...
Leo ni siku ya kimataifa ya Albino
Kenya leo inaungana na ulimwengu kuadhimisha siku ya kimataifa ya Albino.
Baraza la kitaifa la watu wanaoishi na ulemavu Kenya limeitaka jamii hiyo kupewa...
President Kagame with the students who have landed scholarships to study at some of the world's renowned universities and colleges through the Bridge2Rwanda Scholars programme at the commissioning...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.