Baadhi ya nchi za Mashariki ya kati weekend ni Ijumaa na Jumamosi, jumapili mpaka Alhamis ni siku za kazi ( mfano Jordan, Iraq)..... sijui kule Israel nako hali ikoje maana nataka kufika huko...
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa yeye sio Mmarekani wala Muingereza wakati akiwahutubia karibu watu 50,000, wafuasi wake kwenye mkutano uliofanyika kwenye mji mkuu Harare kwa heshima...
Masunda Kitada Oliver alipigwa hadi kufariki na kundi moja la wanaume wa Kihindi Ijumaa iliopita baada ya majibizano mjini Delhi. Watu wawili wamekamatwa kufuatia kisa hicho
Wanafunzi kutoka...
Rais Mteule wa Ufilipino, Rodrigo Duterte aliyepewa jina la utani la ‘Digong’, anayejiandaa kuapishwa mapema mwezi ujao amegoma kuishi katika Ikulu ya nchi hiyo akidai kuwa kuna mizimu.
Rais huyo...
Nchi ya Nigeria imekumbwa na uhaba mkubwa wa nyanya. Asilimia themanini ya mashamba ya nyanya katika maeneo ya kaskazini inasemekana yameharibiwa na watoto wanaokula kila kitu.Matokeo yake, bei ya...
Kampuni ya Teksi za Uber imesema kuwa itaanzisha huduma zake katika miji ya Ghana,Tanzania na Uganda katika kipindi cha mwezi mmoja kulingana na chombo cha habari cha AFP.Uber tayari imeanzisha...
Hili ni tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 8-Feb-2015, lililoyagharimu maisha ya mwanamke mwenye umri wa miaka 37, "Natasha McKenna" ambaye alifariki wiki moja baada ya kupata mateso makali...
Washington (AFP) - America's nuclear force still uses floppy disks designed in the 1970s to coordinate some of its functions, according to a watchdog report released.
The report by the Government...
Kwa wenzangu wa usalama. Hv ni sahihi kila siku askari wa umoja wa mataifa kila siku wako kwenye msitu wa beni wanawatafuta waasi wa ADF na haiwapati. Inakuaje kila siku wako beni mauaji...
Kundi moja la Balozi za Bara Afrika mjini Delhi limeitaka India kuahirisha sherehe moja ya kitamaduni kufuatia kuuawa kwa mwanafunzi mmoja kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wiki...
Ulishawahi kuona nchi yoyote ya afrika imetuma waangalizi wa uchaguzi wakasimamie uchaguzi Ulaya na Marekani?
Je kuna jumuia au taasi ya aina yoyote iliyowahi kwenda kusimamia uchaguzi Ulaya na...
Donald Trump amefanikiwa rasmi kuwa Presumptive nominee wa urais wa Republican Party baada ya kufikisha idadi ya wawakilishi(delegates) 1238 ikiwa ni 2 zaidi ya delegates 1236 wanahitajika...
Jana meli ya wakimbizi ilizama katika pwani ya Libya, jeshi la majini la Italia limewaokoa watu 500. Watu 7 wamefariki, na idadi ya vifo huenda ikaongezeka.
===========================
At least...
Raisi wa ,,USA baby" Barack Obama amekumbana na kisiki kikubwa ktk kwa Wazungu wa nchi hiyo hasa Majimbo ya North Carolina, Alabama, Arizona, Georgia, Maine, Louisiana, Oklahoma, Texas, West...
Image copyrightGETTY
Image captionMaandamano ya Immortal Regiment yalifanyika tarehe 9 Mei
Msomi mbishani kutoka Urusi amependekeza mamilioni ya watu waliofariki wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya...
Indonesia has toughened its punishments for child rapists to include the death penalty and chemical castration.
It follows outrage over several recent violent crimes, including the gang-rape and...
A Russian Sukhoi Superjet 100 (SSJ100) plane has been delivered to Irish CityJet airline, its first European customer, the United Aircraft Corporation said on Tuesday.
According to the...
Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la China limekubaliana na Sudan kuhusu mpango wao wa kuijengea nchi hiyo Kinu cha kwanza cha Nyuklia katika mkataba uliosainiwa Jumatatu kati ya nchi hizo...
Hata ningekua mimi, ukiona umezidiwa darasani, unadesa, unapiga chabo, na huo ndo ujanja.
Ukiweza kununua wataalamu wa mwenzako nunua,ukiweza kununua kifaa cha mwenzako kwa ajili ya kukopi na ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.