4.8 quake hits typhoon-ravaged Philippines
A 4.8 magnitude earthquake has hit the Philippines island of Bohol just days after a powerful typhoon left thousands dead in the Pacific nation...
Obama care imemletea Obama matatizo haswa ,sasa Democratic strategy James Carville anashauri Obama atumie madawa ili Watu wamkubali .Source ,"msnbc ,CNN,etc.Je maneno haya angesema Republican Watu...
M23 soldiers who surrendered to the ugandan army are pictured in the village of rugwerero about 500 km west of kampala
10 NOV 2013 08:51 AFP AFP
Rwanda, under intense international pressure over...
Serikali ya Zimbabwe, imetia saini mkataba na benki ya serikali ya China kuinua hadhi ya mradi wake wa kuzalisha kawi ya maji katika bwawa la maji la Kariba.
Waziri wa fedha wa Zimbabwe, Patrick...
Hawatapakiwa kwa malori kiholela, huu ni mpango unaofanywa kwa ushirikiano wa UNHCR, serikali ya Somalia na ya Kenya. Hakuna atakayeshurutishwa, kila mmoja itakua kujitolea kwake. Na itachukua...
Nairobi - Rwanda, under intense international pressure over its alleged covert aid to M23 rebels in the eastern Democratic Republic of Congo, has maintained total silence since the group's defeat...
jina la snowden limetajwa na wanaharakati wengi wa haki za kibinaadam wakitaka jina hili liingizwe kwenye kinyang'anyilo cha tunzo hiyo.
profesor svallfors wa chuo kikuu cha sweden amewaandikia...
OUTCRY against its £3,000 tourists visa bond notwithstanding, Britain will commence the scheme in the six listed Commonwealth countries in November, Financial Times report quoted the Home Office...
TACLOBAN
The death toll from a super typhoon that decimated entire towns in the Philippines could soar well over 10,000, authorities warned Sunday, making it the country's worst recorded...
It is better to lead from behind and to put others in front, especially when you celebrate victory when nice things occur. You take the front line when there is danger. Then people will...
Tuna imani kuwa jana mlisikiliza hotuba ya Rais wa Tanzania kuhusu mustakabali wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki. Rais ameweka msimamo wazi kuwa Tanzania haina nia ya kujitoa kwenye Jumuiya hiyo...
Aliyekuwa mwajiriwa wa NSA nchini Marekani Edward Snowden amepata kazi ya kusimamia tovuti huko Russia, ambayo kama ilivyo usiri wa sehemu anayoishi, vile vile jina la tovuti hiyo nalo...
ADDIS ABABA, Nov 9 Ethiopian troops will join the African Union Mission in Somalia (AMISOM) as part of renewed efforts to combat terrorism in the Horn of Africa region.
Ethiopian Prime Minister...
ALIYEKUWA Mlinzi mkuu (bodyguard) wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, Luteni Joel Mutabazi, ametekwa na kikosi cha Jeshi la Uganda na kukabidhiwa kwa Serikali ya Rwanda.
Taarifa za kiintelijensia...
Wapiganaji wa Kiislam wa Al Shabaab nchini Somalia
Wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabaab nchini Somali wamesema wao ndio waliotekeleza shambulizi la bomu la kujitoa muhanga nje ya hoteli katika...
tumeongea mengi kuhusu kutengwa eac ....inawezekana /haiwezekani......tumefanya nini kuwezesha wananchi wetu kuweza kuikabili eac kwa faida?tutaikataa eac hata ikibidi kujiondoa kabisa sawa lakini...
Serikali ya sasa ya tz imefanikiwa kutekeleza ilani ya chama tawala kwa asilimia kadhaa....mfano barabara na miradi mingine mingi tu inayo gharimu mabilioni ya kutosha kama ile plani ya bandari ya...
Kwenye Exclusive interiew hii aliyofanya na NTV ya Kenya, Rais Paul Kagame wa Rwanda amezungumzia kuhusu matatizo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, maisha yake ya siasa, ICT pamoja na Arsenal.
<b>
angalia hii article iliyovuja na mahubiri yake ni kama yale aliyokuwa akiyasema jk kwy ule mkutano wa oil and gas.
you will be amazed yaani mahubiri yale yale waliyoubiriwa waganda sasa jk ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.