International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Tarehe 28 Januari ni mkesha wa mwaka mpya wa jadi wa China. Kama ilivyo desturi, saa 2 kamili usiku kwa saa za Beijing, tamasha la mkesha wa mwaka mpya wa jadi wa China ambalo linaandaliwa na...
2 Reactions
4 Replies
225 Views
Bunge la Iraq limepitisha sheria ya 'kutisha' kuruhusu watoto wa umri wa miaka tisa kuolewa, huku wanaharakati wakisema kuwa hatua hiyo itahalalisha ubakaji wa watoto. Sheria hiyo mpya inazipa...
9 Reactions
320 Replies
7K Views
Wadau hamjamboni nyote? Ukweli lazima usemwe Watu wa kabila la banyamulenge huko kivu kusini wamehamia hapo tokea karne ya 18 hivyo wao ni raia halali na siyo wavamizi Wamekuwa wakibaguliwa ...
1 Reactions
11 Replies
415 Views
1. Kwanini Jeshi la DRC lisiweke kambi kuzunguka mipaka yote ya Rwanda? Kama ni kweli Rwanda ndiyo inawafadhili waasi supply yote itaisha ndani ya mwezi mmoja. Yaani kama tunapigana na waasi...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traore ndiye kiongozi pekee wa aliyekuwa jukwaa la VIP huku akiwa na pisto yake kiunoni. Pia ndiye kiongozi pekee aliyeruhusiwa kuingia na walinzi wake jukwaa kuu...
30 Reactions
131 Replies
6K Views
Wapiganagi wa 23 wanadai wameuteka Mji wa Goma na kufunga Anga yake. Maelfu ya watu wamedaiwa kukimbia Ili kujiokoa na dhahama ya waasi. Haijathibitishwa ikiwa ni kweli au hapana na Wala...
13 Reactions
101 Replies
5K Views
Wadau hamjamboni nyote? Wadada wanapigana vikumbo huko ughaibuni kwa muonekano wa kuvutia wa kijana mdogo wa Rais Trump Barron Trump Is a 'Ladies Man' at New York University, Source Says...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU Nimechoka kabisa jeshi la nchi limeikimbia nchi na kuwaachia wananchi msala Wanajeshi wa kongo wamekimbilia Rwanda na kupokelewa kama wakimbizi hii ni hatari...
4 Reactions
84 Replies
3K Views
Huko Marekani hakupoi wala hakuboi. Trump kila kukicha anakuja na jipya. Wizara ya Sheria ya Marekani imewafukuza kazi zaidi ya maafisa muhimu kumi na mbili waliokuwa wakifanya kazi katika timu...
1 Reactions
9 Replies
464 Views
Wakuu, Shirika la habari la Reuters hivi karibuni limeripoti kwamba Rais wa Marekani Donald Trump amethibitisha kuwa kampuni ya Microsoft iko mbioni kununua Tiktok Taarifa hiyo kutoka Reuters...
0 Reactions
2 Replies
295 Views
Putin asema Russia 'iko tayari kwa mazungumzo' na Donald Trump kuhusu Ukraine. Rais wa Russia Vladimir Putin alisema yuko "tayari kwa mazungumzo" na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu jinsi ya...
2 Reactions
6 Replies
549 Views
Kwa kadri ya uelewa wangu na ufuatiliaji wa matukio kule Gaza nimegundua kuwa yanayoendelea Gaza ni makubwa lakini yanatendeka kukiwa na upungufu wa mtu muhimu tangu mwanzo wa vita katika eneo...
1 Reactions
7 Replies
371 Views
Msemaji mkuu wa kisiasi Lawrence Kanyuka, ameutangazia umma kuwa ziwa Kivu kwa sasa halitumiki. Hivyo kuomba jeshi la serikali na SAMIDRC kukabidhi siraha zote kwa wanajeshi wa Umoja wa mataifa...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Katika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume...
20 Reactions
108 Replies
4K Views
Kulingana na ripoti ya kipekee kutoka gazeti la New York Post, utawala wa Trump unadai kuwa wanataka tu watu wenye uwezo wa kuhimili mahitaji makubwa ya kimwili ya huduma hiyo. Soma Pia: Donald...
1 Reactions
1 Replies
264 Views
Hii ndio taarifa Njema kwetu sisi Walinda legacy ya shujaa Magufuli Ni kwamba Rais Trump wa Marekani ameagiza kurejeshwa kazini Watumishi na Wanajeshi wote waliondolewa kazini na Utawala wa...
7 Reactions
10 Replies
612 Views
Major General Peter NKUBA CHIRIMWAMI, mkuu wa jeshi na mkuu wa mkoa wa Kivu Kasikazini, jana tarehe 23 Januari 2025, majira ya saa moja na dakika 44 usiku,alipokuwa amewatembelea wanajeshi wake...
10 Reactions
74 Replies
3K Views
Viongozi wa Afrika ni wagumu sana kutembeleana wenyewe kwa wenyewe. Most of time matukio au mikutano inayolenga kuwakutanisha pamoja hapa Afrika utakuwa wapo marais wachache sana, badala yake...
1 Reactions
5 Replies
325 Views
Wanaukumbi. ⚡️🇪🇬BREAKING: Egypt’s Embassy in USA republishes the following as a response to Donald Trump: Egypt’s stance is clear: it cannot be part of any solution that involves the transfer of...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Wanaukumbi. ⚡️JUST IN: An agreement has been reached regarding the Israeli prisoner Arbel Yahud; she will be released next Friday, while Israel will release 30 prisoners serving life...
1 Reactions
4 Replies
291 Views
Back
Top Bottom