Haya mataifa ya kijamaa ambayo hufahamika kwenye kuficha data, hizi chache data wameachia imebainika Urusi imeipita China
Urusi: 87,147
China: 83,912
Hivi hawa wazungu mbona wanakawia kugundua...
Waziri Mkuu wa New Zealand, Jacinda Ardern ameahirisha Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Septemba 19 kutokana na ongezeko la maambukizi ya CoronaVirus
Uchaguzi umesogezwa hadi Oktoba 17 na...
Ikulu ya Marekani imethibitisha kifo cha Robert Trump ambaye ni Mdogo wa Rais wa nchi hiyo, Donald Trump
Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali nchini humo Robert alikuwa anaumwa sana. Hata hivyo...
This year’s election is gonna be one for the books!
Out of 330 million plus people, these two are the best the US can offer 🤣.
Tweedledee and Tweedledum.
A disaster and a catastrophe.
Which...
Maelfu ya waandamanaji wa upinzani wameandamana jiji Minks nchini Belarus kumshinikiza Rais Alexander Lukashenko kujiuzulu kutokana na matokeo ya Uchaguzi Mkuu wanayosema hayakuwa Huru na Haki...
Bandari muhimu ya Mocimboa da Praia , ya Msumbiji yatekwa na wapiganaji wa ' kundi la IS ' Wanamgambo wanaotajwa kuwa na uhusiano na kundi la Islamic State wamekamata bandari yenye ulinzi mkali...
Aliyekuwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Moshe Ya'alon amefichua kuwa magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh waliwahi mara moja kuwashambulia kimakosa askari wa utawala huo...
Vikosi maalumu vya Somalia vinasema vimemaliza uvamizi Somali uliofanywa katika hoteli iliyopo katika mji mkuu Mogadishu ambayo ilivamiwa na wananamgambo wa al-Shabab Takriban watu 10 wameripotiwa...
Majority of the richest children in Africa come from a political background inheriting wealth from their parents and going forward with the legacy while minority come from a business back round...
South Africa's president has said coronavirus infections appear to have peaked in the country, as he announced a sweeping relaxation of lockdown measures.
President Cyril Ramaphosa said nearly...
While the world continues to cast doubt and aspersion on the coronavirus vaccine recently announced by Russian President Vladimir Putin, the Russian President has declared again that the vaccine...
Building is skill combined with creativity. Everybody wants to build a unique house,company or anything else that will attract and suprise many.
China has proved to have it all, it's buildings...
Kwa mujibu wa jarida la Fortune la Marekani takwimu mpya zinaonesha kuwa katika miezi ya sita ya mwanzo ya mwaka huu, wamarekani 5,816 wameacha uraia wao, idadi hiyo imeongezeka kwa asilimia 1,201...
Umoja wa Ulaya unaandaa vikwazo dhidi ya maafisa wa Belarus ambao walihusika na ukandamizaji unaofanywa baada ya uchaguzi dhidi ya waandamanaji ambao umesababisha umwagikaji wa damu.
Idhini ya...
Wakuu, kumekuwa na taarifa za mauaji na vifo vya watu wanaokadiriwa kufikia 30 mpaka sasa kati ya makundi kadhaa yanayohasimiana huko Sudani baada ya kufanyika maandamano ya kumuondoa Omar Bashir...
Habari za muda huu wanaJF na poleni na majukumu ya kutafuta tonge. Niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Hivi kwanini Mwarabu amemdharau sana mwanamke? Imenifanya nifikirie kwa undani zaidi...
Uchumi wa Uingereza umekumbwa na pigo kubwa zaidi kurekodiwa kati ya mwezi Aprili na Juni wakati ambapo kulikuwa na marufuku ya kutoka nje ili kuzuia maambukizi ya corona.
Kipindi hicho...
Most Germans are against the start of the Bundesliga. When asked
Does the government further, relax the measures to contain the corona pandemic?
Does the Bundesliga kick off this weekend despite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.