Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenyu jf nafikiri wote ni wazima na vile vile poleni kwa wale wenye matatizo kwani matatizo ni sehemu ya maisha! Tatizo langu ni kuhusu hii nishati mbadala yaani umeme wa jua.nimefunga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni mnisaidie plz,mi nimeajiriwa hivi karibuni na kampuni inatumia aar insurance. Nina kadi ya premier,je naweza itumia kumwona dentist?
0 Reactions
22 Replies
5K Views
jamani kunajaa anaomba msaada wenu anadai kua kila anapokwenda haja kubwa anasikia maumivu na wakati mwingine hadi damu inamtoka.tatizo inaweza kua ni nini? nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwenda haja ndogo mara kwa mara na kuamka ilhali uume umesinyaa kuna dawa msaada wenu jamani niokoe raia huku uswahilini ninapoishi................
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Ndugu msomaji nimeona ni muhimu kuandika tofauti ya ugonjwa wa kaswende na kisonono kwa sababu kumekuwa na idadi kubwa ya wagonjwa ambao wanapotoa maelezo au malalamiko yao wamekuwa wakichanganya...
2 Reactions
11 Replies
21K Views
Wana JF naomba msaada. Napendelea zaidi zoezi la kukimbia, na hufanya hivyo kwa kiasi cha dakika 40. Lakini huwa nasumbuliwa na maumivu ya kifua saa chache baada ya mazoezi haya. Sipendi kuacha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau Tunapoelekea Yani lazima Kila mtu ajue afya yake labda Usipende kupata mtoto Maana Huu mtindo Mtu akipata Mimba lazima apimwe mh Hapa na Czn wangu anataka kutoa mimba kisa anaogopa du wadau...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
.....nahitaji elimu ya kuhusu bikra ya mwanamke. Nina maswali mengi:- 1. Hii bikra haswa ni kitu gani? 2. Wanaposema bikra inavunjwa au kupoteza usichana je nini hasa kinatokea kwa huyu mwanamke...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mke wangu anaujauzito wa wiki sita sasa, na ni ujauzto wa kwanza. Amekua akitapika sana kuanzia asubuhi mpaka jioni, yani chakura hakikai. Kuna dawa inaitwa NOSIC nimesoma kwenye net inaweza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nauliza, haya meno yenye florin nyingi hadi kubadilika rangi yanaweza kurudi kuwa meupe? Kama yawezekana, ni wapi hii huduma inapatikana?
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Hellow JF, Nasumbuliwa na maumivu ya shingo toka juzi. Sijajua sababu ni nini, mwanzo ilikuwa kichwa, ukafata mgongo na sasa shingo, mwenye kujua tiba yake naomba msaada.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
jamani hivi kuna dawa za kuondoa makovu makubwa yaliyotakana na vidonda? kama zipo zinapatikana wapi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu katika maisha yangu yote nimeiona hii kali! baada ya kuboreka na uchakachuaji wa kura nimekutana na habarii hii nikiwa online! ningependa tushee hizi habari! via link hiyo hapo chini ya mtu...
1 Reactions
32 Replies
18K Views
Nisaidieni mtoto wa mwaka na nusu ame overweigth ana kg 15 nifanyeje apungue
0 Reactions
3 Replies
2K Views
A healthy male discharges 50 million sperm in a single ejaculation. During sexual intercourse, of all those millions of sperm, only a couple hundred will make it to a mature egg that is ready to...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
jaman,naomba kuuliza.kuzama chumvini au kula koni bado inakuwa c nzur hata km mmepima ol magonjwa na kukta mko fresh?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kuna maneno mengi yanasema juu ya hilo.Ningependa kupata ufafanuzi wa mambo yafuatayo kuhusiana na maradhi ya NGIRI kwa wanaume. 1.Je,yanaweza sababisha uume kuwa mgogo? 2.Yana madhara gani katika...
0 Reactions
8 Replies
38K Views
I want to knw why do people always project unpleasant smell when they are overheated?,
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Too Much TV Linked To Early Death Watching two to three hours of television a day increases the risk of an early death, type 2 diabetes and heart disease, according to a new study...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…