Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Napenda kuuliza kama kuna mtu yeyote anayefahamu jina la ugonjwa wa Alzheimer kwa kiswahili. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
wadau ningependa mnijuze na ikiwezekana kupata tiba ya huyu mzazi wangu. Ni kwamba, aliwahi kupata ajali miaka mingi iliyopita na kuumia mguu (hii sehemu ambayo unaweza kupigia mpira)...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau nahitaji kujua. kondom ina mafuta yake lakini inafika wakati wa "tendo" hayo mafuta yanakauka kabisa na inakuwa hatarishi kwa pande zote. ukitumia petroleum jelly (mafuta ya mgando), kondom...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
A psychologist is urging people to get off Facebook and other social networking sites, and get a life instead. Dr Aric Sigman says the amount of time we spend with each other has slumped...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wenyeji wenzangu, nilikuwa na maswali machache kuhusu magonjwa haya ya zinaa 1) Kuna tofauti gani kati ya gonorea, kaswende, na kisonono. 2) Kaswende na kisonono yanaitwaje kwa kiingereza...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kufutwa kwa matumizi ya dawa za kikohozi na mafua kwa watoto chini ya miaka 12 na mamlaka nchini Kenya. Hali hii imetokana na madhara yanayosababishwa na dawa...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habari zenu ndugu zangu, kuna dada mmoja ana mtoto wa miezi sita na anamnyonyesha tatizo ni kwamba amekuwa anachelewa kuingia katika siku zake anaweza kufika hata siku 39 na siku ya 40 ndo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
You don't need to eat yogurt and live on a mountaintop, but you do need to floss By Deborah Kotz Posted February 20, 2009 The biggest factor that determines how well you age is not your...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Eti? Veve najua kutafsiri ndoto?
0 Reactions
28 Replies
11K Views
Natanguliza salaam, Is there anybody who can recommend medicine/herbs etc. That can help to regulate hormones of a woman undergoing menopause. Many thanks
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MegaPyne
WanaJF, Natafuta maziwa kwajili ya mtoto wangu, ana miezi mitatu na mama yake anaishiwa maziwa siku zinavyozidi. Hapa bongo mnanishauri nitumie maziwa gani?
0 Reactions
9 Replies
5K Views
:confused:Last week kulikuwa na thread inayozungumizia matatizo ya hedhi kwa kina dada sasa swali langu linaweza pia likaendana na thread hiyo japo katika michango yote iliyotolewa sijaweza kupata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Overview of Colon Cancer Symptoms By Donna Myers, About.com Updated: July 5, 2008 It's best to get regular screenings rather than rely on colon cancer symptoms to alert you to the presence of...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hi JF members. It is so sad that many of our beloved are dying of cancer which is not just killing them but it is also threatening us. I have come accross a useful update of which i would like...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Za leo jamani, Mimi na swali hivi mtu kanyoa ndevu vizuri tuu ila sio mpaka chini, bado katokwa na vidonda kama vile vya kunyoa mpaka kwenye ngozi nadhani mnavifahamu then pakawa panatoa harufu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Natumaini wote wazima. Mimi ni mwanajami mwezenu na leo ndio mara ya kwanza kuposti huku. Mimi tatizo langu nipo kwenye ndoa 2yrs sasaivi na hatujapata mtoto na nimeshamwona gyno, nimefanya...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
]1. A human being loses an average of 40 to 100 strands of hair a day. 2. A cough releases an explosive charge of air that moves at speeds up to 60 mph. 3. Every time you lick a stamp, you're...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
A new study has revealed that life expectancy can be predicted from the length of specialised bits of DNA at the ends of chromosomes. Researchers studying Alpine swifts have been able to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam. Mimi nilipata ajali kwenye ndege na kufanyiwa operation ya kichwa(celebral spinal fluid)ilikuwa inavuja kupitia kwenye kitobo kilichotakana na hiyo ajali. Hivyo ilikuwa nikiinamisha...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani wadau wa JamiiForum nimekuwa nikatafuta heria hii 'Town and country planning ordinance Cap 378', kwa muda mrefu bila mafanikio. Kwa yeyote ambaye anaweza kunipatia document hiyo naomba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom