Natumaiani hamjambo wana JF
Nina ndugu yangu Umri ni 50+ anasumbuliwa na tatizo la matiti kupata maumivu makali ya kujirudia rudia hasa upande kushoto yanayopelekea uvimbe, na hujihisi joto pindi...
Mkurugenzi wa WHO kanda ya Afrika, Matshidiso Moeti, katika mkutano wa Mawaziri wa Afya wa Afrika, amesema visa hivyo vimerekodiwa katika Nchi 11 na kuongeza kuwa kuna haja ya kuongeza mwitikio wa...
Habari za majukumu wakuu,
Miezi miwili iliyopita nilikuwa nasumbuliwa sana na mafindofindo(tonsils) yani yalikua yana vimba na kuuma sana nikitumia dawa yana pona, baada ya siku mbili yana rudi...
Habari za jioni wakuu, kama kichwa kinavyosema hapo juu, nina ndugu yangu Ana shida kwenye mapafu, uwezo wake wa kuvuta hewa ni mdogo naomba msaada kwa yeyote mwenye kujua, kwa sasa anatumia...
Habari Wana jamiiforum,
Mke wangu ambaye ana miezi mitatu tangu atoke kujifungua mtoto wa kwanza amekuwa na tatizo la kutokwa damu Mara tu tunapoanza mchezo wa kikubwa yaani ukisukuma Mara mbili...
Wataalamu wa afya wamesema tatizo la mvurugiko wa homoni ‘hormone imbalance’ ni chanzo kikubwa kwa mwanaume kukosa nguvu za kiume na mwanamke kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa.
Hata hivyo, wengi...
Wakuu Habari ya jioni,
Natumai mko vyema, nilikuwa nahitaji. Msaada wa dawa ya allergies mpaka sasa nimeshatumia dawa hizi Centrizine na predesoline lakini bado sijafanikiwa kutibu tatizo...
Wakuu habari zenu?
Leo baada ya afya yangu kuyumba, nilienda hosp kucheki afya yangu, baada ya matibabu nilipewa dawa nikiwa nimeandikiwa nitumie 1 mara 3 Kwa siku 5 na mfamasia , akifafanua Kwa...
Habari wanajamvi
1) ASTHMA, COUGH ALLERGY:
For the treatment of these diseases the Following method is adopted. Take a cup of warm water, one spoon of honey and half tea spoon of Kalonji oil...
Hivi hili tatizo gani ndugu zangu
Mimi na sumbuliwa na ugonjwa wa tumbo kuvimba
Yaani nikila kitu chochote au kunwa kitu chochote ni lazima tumbo langu livimbe atari saana na kibaya zaidi na hisi...
Habari zenu Wana JF
Poleni na misukosuko ya maisha.
Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani tweti four hours na hili tatizo lilianza tangu nije apa kwa wahindi maana nakaa...
Habari zenu wadau
Naombeni msaada maana nataka nisafiri kwenda nje ya Tanzania. Nataka nijue wapi wanatoa chanjo ya homa ya manjano na gharama zao pia nataka kujua inatakiwa ifanyike siku ngapi...
Ndugu zanguni ma dakatari wa jf nina mtoto anamiezi mitano. Tatizo lake nikwamba kama vile ana makamasi mengi yamejaa puani lakin hata haya toki kwaiyo anakoroma tu puani.
Nimetumia dawa kadhaa...
Sensa kwa Maendeleo. Jiandae kuhesabiwa
Baada ya salaam hapo juu niende kwenye jambo langu.
Miezi ya hivi karibuni kuna jambo linanishangaza sana ninapokuwa nachakata mbususu. Goli la kwanza...
Habari ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 33 kwa kipindi kirefu nimekua nashida nikinywa maji hata robo kikombe baada ya dk 20 nitahisi mkojo, nikienda kukokoja ntakojoa ile naumalizia mkojo...
Wandugu wapendwa poleni na mihangaiko ya kila siku, tatizo linalo nisumbua ni kuwashwa sehemu ya kichwa cha uume wangu yaani kunakuwa kama kuna mdudu anatembelea ndani, kujikuna ni shughuli...
Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani imelalamikiwa kutompatia matibabu ya upasuaji wa henia ‘ngiri’ Bathromeo Mapunda, kisha kumfukuza hospitalini hapo kwa kukosa Sh250,000.
Awali...
Wanna JF anaejua jina na dawa ya huu ugonjwa anisaidie tafadhali maana nmeenda hospital kupima ukimwi naambiwa Sina.
Wanasema labd UTI lakini UTI Sina, mbomba La mkojo linawasha hatari na hvo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.