Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

wadau kwa muda nimekua nikijiuliza mini maana ya muda.. nani alipanga sec,min,and hours nakosa jibu kabisa.. kwa mtazamo wangu...mpangilio wa nini cha kufanya ndo ulileta uwepo wa intervals kati...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wasalaam,,,Familia ya great Thinkers.... Kuna mambo huwa yananitatiza jamani,,nataka kujua uhusiano wa utendaji kazi wa mtu na vitu viwili,,, 1.feelings na utashi wa akili katka upambanuzi wa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Kuna kitu kinanichanganya sana,katika maisha yangu .Mimi sio MTU wa kupiga sana simu kwa watu.Huwa napokea sana lawama Juu ya hii tabia,naonekana jeuri japo Mimi sielewi kwanini nipo hivyo...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Mataifa mengi hususani Africa yameanza kwa kasi urushaji wa Satellite angani katika karne hii kwa kurusha wenyewe au kushirikiana na mataifa kama Japan, Russia, Marekani n.k. Dunia ya sasa...
1 Reactions
61 Replies
10K Views
Ni dhahiri kila mwanaume huzaliwa akiwa na uume wenye ngozi inayofunika kichwa cha uume(govi). Katika tanzania kuna makabila kadhaa ambayo unaweza mkuta kijana hajatahiriwa na wala asiwe na...
7 Reactions
91 Replies
19K Views
Wageni wenye ruhusa tu na wafanyakazi wanafika katika ghorofa ya tatu ndani ya Makao makuu ya shirika la kijasusi la Mossad ndani ya eneo lenye ulinzi mkali sana katika makutano ya barabara kuu...
22 Reactions
118 Replies
18K Views
KATIKA BIOLOGY TUMEFUNDISWA KUWA CHEMBE HAI ZA BINADAMU HUGAWANYIKA KUTENGENEZA CHEMBE HAI MFANANO.swali kama zinatengenezwa kuchukua nafasi ya zilizokufa ni kwa nini,binadamu azeeka..Na kama...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Swala hili limeanzia mbali sana. Kabla ya miaka ya 1800 mwishoni na 1900 mwanzoni wayahudi wengi walikuwa huko ulaya. Huko hasa ulaya mashariki walibaguliwa sana na hawakuruhusiwa hata kumiliki...
10 Reactions
32 Replies
12K Views
Utangulizi Katika jambo ambalo nitaliongelea nitatumia lugha ya Kiswahili na kingereza kutokana na baadhi ya maneno ya kingereza kukosa tafsiri ya moja kwa moja ya Kiswahili. Ninashukuru...
10 Reactions
23 Replies
6K Views
Ndege hiyo haijadondoka kokote pale, haijazama baharini, Kisanduku cheusi nacho kimakata mawasiliano yake ghafla, IMETOWEKA ANGANI. NI VIPI NDEGE INAWEZA KUTOWEKA HEWANI? Uwezekano mkubwa...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za jumapili wana jamvi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Moja ya habari kubwa iliyotawala vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifafa mwanzoni mwa wiki hii ni uzinduzi wa sanamu...
12 Reactions
42 Replies
8K Views
Hii ni moja kati dini changa zaidi Duniani kwa sasa. Dini ilianza karne ya 19 huko Iran ikiwa imechupikia toka dhehebu la Shia. Waanzilishi wa dini hii ni Bab na Bahaullah! Dini hii inaamini...
1 Reactions
55 Replies
16K Views
Ni Ali Abdoul Saoud Mohamed alikuwa double agent wa CIA na EIJ( Egyptian islamic jihad) ambayo ndio ilipelekea kuundwa kwa ALQAEDA huku yeye akiwa mwendesha mafunzo wa mbinu za kivita na kijasusi...
25 Reactions
117 Replies
38K Views
Mashushushu hawa ndio wenye mafanikio makubwa kuliko wote Duniani. Njama 638 za mauaji aliyoepuka Fidel Castro.(Chini ya mashushushu wenye ustadi wa hali ya juu sana(skillful) Njama ya kutumia...
23 Reactions
137 Replies
36K Views
Amani iwe nanyi Katika kuwaza jinsi ya kuingia kwenye Ufalme wa Mungu kuna mambo mengi nimekuwa nikijiuliza ikiwepo akina nani kutokana na nature ya kazi zao wana nafasi nzuri ya kufika Paradiso...
6 Reactions
52 Replies
7K Views
Tunataka Serikali ya CCM ielewe kwamba kama ikiendelea na viini macho dhidi ya watanzania then watanzania wote tulioko nje tutazishinikiza serikali za magharibi kujaribu kuhakikisha kwamba this...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto. Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao...
27 Reactions
379 Replies
48K Views
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya tele wakuu! Katika tafakari zangu za huku na kule ktk masuala ya imani ya dini, inaonekana ni Mwenyezi Mungu pekee ndiye mkamilifu kwa maana ya kuwa...
2 Reactions
94 Replies
15K Views
Habari wana JF. naomba kufahamishwa kuhusu Yesu Mtoto wa Mariam. Je Imani ya Wasabato, Waroma na Madhehebu mengine wanamchukulia kama Nani? Je ni Mungu? Mwana wa Mungu ama Mtume wa Mungu? Asanteni.
4 Reactions
316 Replies
22K Views
Wanasema ilianzia kwenye video ya wimbo wa ‘BLACK OR WHITE’ Ujumbe wa siri unao patikana kwenye wimbo huo ni kwamba Michael Jackson anawaambia Illuminati wao na yeye sasa ni basi. Katika wimbo...
23 Reactions
68 Replies
23K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…