Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Wana Jukwaa salaam. Napenda kujuzwa, ni nini huwa kinasababisha moto kuwaka kwenye ile misitu ya nchi za magharibi (Marekani na Urusi) kwa mfano hasa kipindi cha baridi kali? Nijuavyo mimi dawa...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Many people are baffled by the difference between the God of Being and the God of Becoming, but the difference could not be starker. The first is impossible and the second certain. Why do so many...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wa JF habari zenu!! Kuna jambo ambalo linanisumbua ambalo nahitaji ufafunuzi wenu hasa wale watu ambao wamejaliwa kupewa jicho la tatu katika imani ya dunia hii. Hapa dunian kuna watu ambao wana...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Je, umeshawahi kusoma hiki kitabu Psychology of intelligence analysis...
1 Reactions
42 Replies
10K Views
Katika mkusanyiko wa sayari nyingi na nyota mbalimbali kunauwezekano mkubwa kwenye sayari zingine mamilioni kukawa na viumbe hai. Kwakutumia formula za kimahesabu uwezekano wa kuwepo viumbe...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
4 Reactions
243 Replies
65K Views
Habari wanaJF, Naomba niwashirikishe ndoto yangu; Nikiwa chuo mwaka wa pili semister ya kwanza tulikuwa katika chumba cha mtihani mchana, tulikuwa tunafanya Financial Accounting kiukweli yale...
2 Reactions
72 Replies
23K Views
There is a great debate around this subject but the idea to start this thread specifically came after I saw a thread under Uchaguzi sub-forum that said, "Tanzanians have proven to have lowest IQ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana intelligence. Mwaka 2006 nikiwa darasa la 4 shule ya msingi huko kijijini kwetu, nikiwa nimelala usiku wa manane niliota nikiwa shule kama kawaida, kwenda na kurudi kama ilivyo haya...
3 Reactions
38 Replies
6K Views
Kila wazo, Kila neno, Kila tendo, ni kama sala. Kutokana na kuwa kila wakati kuna kinachoendelea katika ufahamu wako basi tambua kuwa kila wakati kuna uumbaji unaendelea katika ulimwengu...
6 Reactions
40 Replies
6K Views
Jina hasa la Ibn Sina ni Abu 'Ali al-Husayn bin ‘Abdillaah bin Sina (alizaliwa mwaka 980 katika mji wa Afshana karibu na mji wa Bukhara. Na wengine wanasema alizaliwa mji wa Balkh huko...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
Nilipata mshtuko mkubwa nilipokutana na hii habari hapo jana. Nikajaribu kuitafuta humu JF ili niisome kwa kina ila sikufanikiwa kuiona. Nimeona ni iilete ili tuweze kuitizama kwa pamoja. Kama ipo...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Ifahamike kuwa kuanzia tarehe 11 hadi 20 ya kila mwezi wa nne kila mwaka huwa ni siku mahususi za kutoa sadaka (kafara) kwa Wajenzi Huru katika lugha ya kigeni ( Freemasons ) kwa kile kinachoamika...
0 Reactions
37 Replies
15K Views
ndugu zangu wanaJF, Kwanza kabisa habari zenu. Ndugu zangu nimepata kuona mada na maswali mengi tu kuhusiana hayo hapo kwenye kichwa cha thread. Na kimsingi hii si thread,bali ni taarifa tu kwenu...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Oil and gas exploration companies operating in the country pay foreign private security companies US$3 million (about over 6bn/-) annually, which the Controller and Auditor General (CAG) says was...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written. But there's free will. So, you can choose or not to go to hell? Also, when a man impregnates a woman, is he...
4 Reactions
983 Replies
62K Views
Wanaukumbi, Christopher Columbus ni jina linalohusishwa uvumbuzi la bara la Amerika. Potelea mbali utata wa kama ndiye aliyefika wa kwanza maeneo hayo au la. Inajulikana pia kuwa Columbus alikuwa...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
1. Money is hidden in Ideas: Which idea do you have? What idea has been on your mind, most dominant and you are afraid to carry it out. Someone once said that the grave is full of men with ideas...
8 Reactions
6 Replies
4K Views
Nimeona kwamba sasa hivi Dar popote unapo park gari unabidi ulipe.Sasa swali langu ni je fedha hizo zinaenda wapi?Maana sijaona sehemu zenye alama zozote za parking.Je ni kweli kuwa parking...
0 Reactions
96 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…