Rothschild alimuagiza Adma Weishaupt kuanzisha Illuminati. Weishaupt alikuwa anatafuta Greater na Lesser keys of Solomon,ambazo ndizo nimezipost hapa. Rothschild provided the keys. Kwa hiyo Adam...
10. Diane Downs – Victims: 1
Elizabeth Diane Downs is led in handcuffs into the Lane County Courthouse in 1984 on the first day of her trial on accusations that she shot her three...
This is alternative two which will lead to complete revelation of a person who uploaded the Lwakatare video, http://www.youtube.com/watch?v=dfgeZZhg724 on Youtube apart from metadata technology...
JESHI la Polisi nchini limedai kumhoji mtu anayedaiwa kuwa Afisa Usalama wa Ikulu, Ramadhan Ighondu, anayetuhumiwa kuwa mhusika mkuu katika tukio la kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya...
Hi wanajamvi, leo nakuja mbele yenu kuwaeleza hiki kitu.
Nakumbuka mwaka 2010 nikiwa nafanya masters chuo kikuu cha dsm kulikuwa na afisa mmoja wa tra wilaya ya kongwa ndugu STANLEY NYAMBOGA...
Wakuu tumekuwa tukujiuliza haya matukio yasiyo ya Kitanzania yatoka wapi?
Tunajua vyombo vetu vya usalama vinaweza kuwa na habari hizi(ambazo hata kwenye mtandao zipo), lakini kwa nini hatua za...
UFISADI MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO UNATISHA
PAMOJA NA MALENGO (MISSION) MENGINE YA NCAA LENGO MOJAWAPO NI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA UTALII ILI KUBORESHA HUDUMA ZA KITALII...
Hivi jamani madini kama dhahabu, almasi, shaba, chuma n.k. yalipatikanaje hapa duniani?(i.e. How were/are they formed?). Maana Nchi kama Tanzania ina dhahabu, almasi, uranium na madini mengine...
Source: USA Today
Rep. Walter Jones, R-N.C., suggested to a libertarian group that former Vice President Dick Cheney will likely end up in a fiery place for his role in the Iraq War.
"Congress...
If it hit, the asteroid would release a 2.4-million-ton explosion and wipe out 750 square miles
150-foot asteroid will buzz Earth, no need to duck
CAPE CANAVERAL, Fla. (AP) -
A 150-foot-wide...
Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anatakiwa awe anastaafu leo kwa mujibu wa sheria. Ametumikia chini ya Kikwete tangu miezi michache tu baada ya Rais Kikwete kuingia madarakani. Chini ya uongozi wake...
Uganda, Kenya, Tanzania has been battling with corruption especially among government officials. Which country do you think has the most corrupt officials.
Nchi ya Tanzania ni sawa na Marekani( sio kiuchumi japo inawezekana) najaribu kujenga hoja binafsi wanaoniunga mkono karibuni na wanaonikosoa pia karibuni.
Kihistoria kabla ya wazungu kwenda bara...
Marekani inazalisha kwakiasi kikubwa mahindi asilimia 40% ya mahindi yote duniani yanalimwa marekani kuna corn belt michigan,illinois,kentucky na kwingineko matumizi makubwa ya zao hili ni kwa...
Utajitambuje Kama Una akili??
KWA mujibu wa Mwanasaikolojia mwenzangu Howard Gardiner aliandika kuwa binadamu wanatofautiana kiakili kila binadamu anauwezo wake katika kufikiri.
Sasa ndugu...
Ndugu zangu,
Kwamba kuna viumbe kwenye sayari nyingine wenye kukesha wakiomba kwenye nyumba zao za ibada, kuwa Mungu wao awaepushe na balaa la kuwaleta kwenye sayari dunia.
Dunia iliyo zaidi ya...