Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Mimi ni mkristo nimelelewa katika ukristo tangu nikiwa mdogo. Mwanzo tu wa biblia katika kitabu cha mwanzo 1:1-3a kunakuwa na makosa makubwa ambayo yamedumu karne na karne. Haya yalitokana na...
17 Reactions
166 Replies
6K Views
IJUE NYOTA YAKO Nyota ni Elimu ya Sayansi ya kiroho ambayo inatumika Dunia nzima. Kila mtu katika Dunia akitaka asitake, aamini au asiamini atakuwa amezaliwa katika moja wapo ya nyota hizi 12...
31 Reactions
1K Replies
827K Views
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na...
20 Reactions
2K Replies
13K Views
In Christendom ,many Christians have been believing that Jesus whom they call Christ was a historical figure and was the Son of Man.my discussion aims at exploring into the hidden identity of...
0 Reactions
6 Replies
388 Views
Bara la kupokea kila mgeni Bara lenye rasilimali nyingi Bara linalo heshimu na kunyenyekea ngozi nyeupe Bara la kuana wenyewe kwa wenyewe Bara lenye wajinga wengi Bara lenye magonjwa yote...
4 Reactions
28 Replies
541 Views
Ninyi na rasilimali zenu safiii!!! Hivi ikitokea mtu katekwa na watekaji aidha majambazi au magaidi, hao watekaji wakatoa tamko lao, kwamba "mtu wenu tunae, ila tutamuua kama hamtatimiza matakwa...
0 Reactions
4 Replies
225 Views
1.Great glaciation. Great glaciation is the theory of the final state that our universe is heading toward. The universe has a limited supply of energy. According to this theory, when that energy...
3 Reactions
30 Replies
411 Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; Kwanini watu...
22 Reactions
495 Replies
45K Views
Salute mate.. Huko china miaka ya 544BC alizaliwa bwana mmoja anaitwa Sun Wu, huyu bwana alikua jenerali wa jeshi la uchina ya zamani. Anafahamika zaidi kama Sun Tzu, alikua ni mtaalamu wa...
14 Reactions
30 Replies
6K Views
Salute mate; Wanasemaga kwamba many of our battles we fight don’t exist, we make them exist because we create our own Demons. Kwamba mambo mengi yasiyo kawaida tunayoyaona hua sio halisi ila ni...
55 Reactions
212 Replies
32K Views
Kiuhalisia ni kwamba mara nyingi watu wamekua wakisema Mungu ni roho, namimi nakubaliana na hii kauli ya kwamba ni kweli Mungu ni roho, lakini tujiulize kidogo je, Mungu ni roho kwa namna gani...
6 Reactions
157 Replies
4K Views
Mkataba na Shetani(Deal with the devil) inasemwa ni kitendo cha mtu kuingia mkataba na Shetani apewe umaarufu, pesa, mamlaka, afya njema nk, kisha yeye anampa Shetani nafsi yake(yaani anajitoa...
8 Reactions
28 Replies
946 Views
Januari mwaka 2001 mapema kabisa kabla ya George Bush kuapishwa na kuwa rais wa Marekani, makamu wa rais, Bwana Dick Cheney alimtumia ujumbe waziri wa ulinzi, William S. Cohen ambaye aliwekwa hapo...
11 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimeamua kuandika makala hii kwa heshima ya Jukwaa hili lakini pia kwa ajili ya kuchochea udadisi lengo likiwa kumpa kila asomaye uthubutu wa kutaka kufukiri nje ya Box. Makala hii ni mjumuisho...
56 Reactions
499 Replies
68K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Biblia katika kitabu cha Mwanzo 1:2 inaeleza Mwanzo 1 2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji. Katika...
9 Reactions
95 Replies
2K Views
From book of john Inspired by dune, frank Herbert Are you ready, Bado maamuzi ya lugha itakayotumika ndio changamoto, Kiingereza kikitumika, waswahili watabaki nyuma lakini kiswahili...
1 Reactions
2 Replies
156 Views
Nadharia ya Mchezo (Game Theory) – Maelezo, Mifano, na Matumizi Nadharia ya Mchezo ni Nini? Nadharia ya mchezo ni tawi la hisabati linalochunguza maamuzi ya kimkakati yanayofanywa na watu au...
6 Reactions
21 Replies
361 Views
Salute bosses! Sina takwimu zozote (kama alivyosisitiza Anko), lkn binafsi nahisi nimekumbwa na ugonjwa wa micropsia, yani naona kama mwaka 2017 umekua mfupi kuliko miaka mingine yote, juzi tu...
234 Reactions
711 Replies
130K Views
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao. Kwa mfano...
68 Reactions
310 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…