UZI HUU SIO WA KIDINI LICHA YA KWAMBA IMETUMIKA MIFANO KUTOKA KWENYE VITABU VYA DINI, HIVYO NAOMBA USIPELWKWE KWENYE JUKWAA LA DINI.
Waislamuini Korani na Wakristo wanaiamini Biblia, wote...
Sayansi haisemi uongo, Ila uongo unaweza kujitengenezea sayansi yake.
Uchunguzi wa kimahakama wa matukio ya uhalifu ni uchunguzi wa kisaynsi unaolenga kukusanya ushahidi usio na shaka na kisha...
Habari wanaJf, nizame straight kwenye mada mtanisamehe kwenye uhandishi mbovu dhumuni content ifike na tujadili.
Tukiwa kama binadamu wote tumeumbwa na choyo na ubinafsi ya kiasi ndani yetu...
Ukiwa unatembea, wenzako wanakimbia, ndivyo naweza kusema kwa lugha ya haraka kutokana na teknolojia inavyotupa picha kuwa siku moja binadamu ataweza kupika akiwa safarini au kupaa kwa kutumia...
"I am your god and teacher.I am the devine way,the torch that lights up the dark.There is no god but Ali solih."
Haya ni maneno yake marehemu Ali solih aliyekuwa raisi wa Visiwa vya...
Kuelekea mwishoni mwa vita ya pili ya dunia 1945 , vita upande wa Ulaya ni kama ilikuwa imeisha, hata hvyo upande wa Pacific ndo ilikuwa inashuhudiwa pambano kubwa zaidi kuwahi kutokea ,
kisiwa...
Immortality haina maana ya kwamba kutokufa kabisa, bali kuishi miaka mingi/kurefusha muda wa kuishi. Kiumbe anaye ishi maelfu au mamia ya miaka kwenye ulimwengu, basi huyo kiumbe anakuwa ame...
MTU anaishi baada ya kufa?
Mara nyingi kume kuwa na mafundisho mengi ya upotoshaji, nazaidi wengi wao wakifanya kama alivyo Fanya shetani kutumia maandiko matakatifu kumjaribu Yesu mwanawa Mungu...
Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza. Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu...
Je mauaji yanayodhaminiwa na serikali yanaweza kutumika kama mkakati? Na mauaji kama hayo yanaweza kukubalika kweli? Serikali hazikubali hilo, lakini wanasayansi wa nyuklia wa Iran wanajua...
Tafadhali naomba wajuvi wa mambo wanijuze kuhusiana na hili, hivi hili sanduku la agano lilikuwa na nini ndani yake na madhumuni yake yalikuwa nini? Kwa nini Makuhani ndio waliolibeba na wengine...
1960s KGB CLOAK-AND-DAGGER SEXPIONAGE SPARROWS WITH LOVE FROM MOSCOW: Kisa cha Balozi Malaya wa Ufaransa na Majasusi wa Kike wa Russia (Femme Fatales)
Ninakushauri uanze kwa kusoma kwanza makala...
Kila mwanadamu ni sehemu moja ya muundo mkubwa, wa milele - gia za kibinafsi katika saa ambayo haina mwisho. Ingawa hauwezi kuelewa kabisa kusudi lako, sehemu yako ni muhimu kama wafalme na malkia...
Two letters from father of four, lament his separation from his family - and warn others about the danger of drug trafficking to Hong Kong.
2021 - Letters from Southern African inmates
Jan 30...
Ndugai asiposikia tena hili ndo basi tena. Sauti ya leo ni sauti ya mwisho na asipoelewa atakuwa na tatizo la akili. Wananchi wamesema kwa muda mrefu, wataalamu wamesema, viongozi wa dini...
Habari wakuu,
Kwa wale waliobahatika kupata elimu ya sekondari bila shaka walijifunza kitu kinachoitwa Newton's law of motion ambazo ziko tatu:First Newton's law of motion, second law na third...
Mnamo mwaka 1803 katika kisiwa cha Mtakatifu Simon (St. Simon Island) Kundi wa watu wa kabila la Igbo kutoka Nigeria waligoma na kuanzisha vurugu ndani ya jahazi ambalo walikuwa wakisafirishwa...
Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.
Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa...
Niende moja kwa moja kwenye mada! Leo mchana kwenye pita pita zangu kuna kijiwe kimoja nimekuta mjadala kwa kiasi fulani nilivutiwa ikabidi nisogee kuongeza maarifa. Mjadala ulikuwa baina ya mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.