Kwa Hali ya kushangaza bank hizi mbili zajikuta wanapigania kupiga mnada nyumba iliyokuwa as collateral security kwa mteja wao aliyekuwa amechukua mkopo huku mteja huyo akiziacha bank hizo kwenye...
Kwa wale msiojua kabla Mhe. Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Prof. Pierre Nkuruzinza hajaingia msituni katika harakati alikuwa Mhadhiri (Professor) Chuo Kikuu nchini humo. Pia ni mwanadiplomasia...
Wewe unafurahia tu mvua inavyonyesha. Fikiria upande wa pili waishio mabondeni na hali hii wanaishije! Dunia hii, we achaa tu, Swadakta kwa walionena, "usiseme twafa sema nafa"
Naona majirani zetu hawajaridhika na mlima Kilimanjaro, Oldvai Gorge na Ngorongoro, wameamua kuiba na daraja la Kigamboni kabisa.
Maajabu hayatakwisha duniani
Zinatokea sana Uswaz na mechi kubwakubwa.Refa anapewa mkwanja ili kubadili halafu anashindwa kutimiza adhma.Watu wanakosa uvumilivu na kugawa kichapo kwa kwenda mbele.Yaani mtu anakupa mkwanja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.