Picha ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu baada ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) leo Ijumaa Machi 4, 2022.
Huyu ni Peter Kibatala baada ya kesi aliyokuwa akisimamia kushinda/kumalizika
Hapa akiwa na ma file yote tangu kesi inaanza hadi kufikia mwisho.
Hongera sana wakili msomi kwa kazi nzuri.
Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.