Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Coach Saed Ramovic Sasa tumeanza kumwelewa Wachezaji wa Yanga wameongeza fitness Prince Dube Hat trick ya kwanza kwenye NBC pl mwaka huu, nilimwambia ni suala la muda Sasa naamini tumemwona...
3 Reactions
4 Replies
471 Views
Taifa hili limewekwa na Mungu mikononi mwenu hakikisheni mnasimama kuhesabiwa hata kama ni kwa chapa ya moto.
4 Reactions
19 Replies
844 Views
Kuweni na haruma basi! Hali ilivyo Dar es Salaam.
1 Reactions
7 Replies
543 Views
Hongera kwa Afande, Hivi kufuta hii kitu tena ukiwa umepiga magoti na mikono miwili tena kimahaba, huwa ina maanisha nini kwenye ulimwengu wa kiroho ? Hii picha nimeangaliaaaaa, nikawaaaza...
1 Reactions
5 Replies
484 Views
Tajiri Elon Musk aliyeteuliwa na Rais Trump kuongoza idara mpya ya Ufanisi wa Serikali, ameingia kwa mara ya kwanza kwenye ofisi za bunge la Marekani kwa ajili ya kufanya kikao huku akiwa amembeba...
26 Reactions
54 Replies
2K Views
hawajawahi pishana NAO....
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Watu wanapitia mengi ila inabaki kuwa siri sirini....mkiambiwa utajiri ni siri muwe mnaelewa. sawa vijana wapenda Shortcut??
13 Reactions
70 Replies
3K Views
Yani katika pita pita mitandaoni nikakutana na hizi sms za kijana akiutongoza mshangazi...😅😅😅 nimecheka sana
9 Reactions
117 Replies
5K Views
Rais akiwa hayati Benjami William Mkapa, Rais wa Zanzibar akiwa Salmin Amour Komandoo na IGP akiwa Omary Mahita, CUF wakiwa kama Chama Kikuu cha Upinzani maji waliita mma. Utumishi wao katika...
2 Reactions
5 Replies
453 Views
1: Call of Duty: Modern Warfare 2 It's the best so far besides not having zombies+10 This is by far, my favorite Call of Duty game. It has an amazing storyline, and the graphics at the...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kuombana hela mwezi huu imekaa kikuda sanaa🤔🤔😂😂😁
0 Reactions
0 Replies
236 Views
Kwa mujibu wa Wanasayansi ni kwamba sisi Humans, tunaukaribu sana wa DNA na Apes, Chimps/Gorilla. 98 point something ya DNA zetu zinafanana na hata tabia zetu pia zinafanana. Vipi unakubaliana na...
5 Reactions
25 Replies
820 Views
kama
2 Reactions
2 Replies
525 Views
Back
Top Bottom