Watanzania wenzangu.
Covid imewabana JIRANI nchi moja sasa locked down ya nguvu wamefikia hata kujificha kwenye jaba na jaba linapakiwa kama mzigo na loba la ndizi ili kuwai mzigoni.
pichani ni Harnaam kauri mwanamke anae shikilia record ya kua na ndevu nyingi duniani.
Na june 20 anatarajiwa kuingia katika mashindano ya kuwania TAJI LA MISS UARABUNI
NINI MAONI YAKO???!
Hakika cheo ni dhamana. Tumia cheo kutenda haki, tenda kazi ya Mungu.
Hili ni funzo kubwa sana kwa wenzetu mnaoteuliwa na kuchaguliwa. Oneni mwenzenu anavyodhalilika. Hamjachelewa sana,huu ni...
Leo kwa mara ya kwanza wakazi wa Dar Salaam hasa wameshangazwa na foleni ya magari katiki barabara ya Juu (Flyover).
"Tumekua tukiamini hii jia ya juu ndio suluhisho la foleni ajabu leo tunaona...
Mishahara yao haikatwi kodi, wanapata kiinua mgongo kila baada ya miaka mitano pasi kuchangia mfuko wa jamii. Tena mafao yao yanatoka kwa wakati stahiki hakuna njoo kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.