Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Flashback : Qoute:Mandela is not free,Mandela is out of jail - Mwalimu Juliasi.
4 Reactions
4 Replies
998 Views
Huyu mbuzi wa porini alikufa baada ya pembe zake kuwa kubwa sana na kumtoboa kichwani hadi kufa.
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Leo nmekumbuka kwenda wasalimia masela wangu mwananyamala kisiwani kwenda kushow love kdg nkaamua nile docho lile Maarufu la wanaokwenda kujipoozaaa kwa wahaya [emoji23] [emoji23] [emoji23]...
5 Reactions
67 Replies
19K Views
Gari la Bia limepinduka Zanzibar na mzigo (BEER[emoji482]) uko salama kabisa na raia wanauangalia...
10 Reactions
47 Replies
4K Views
Hii ina akisi hali ya matumaini katika sekta ya biashara nchini Tanzania kwa sasa
10 Reactions
160 Replies
30K Views
Yeereeeeeh! Alipokuja bongo kuuza sura kwa kula wali maharage alishindwa kabisa kuopoa madem wakali nchini? Uvumi umeshaanza kuenea kiichosababisha ndoa ya Bill Gates kuvunjika ni kutembea na...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwenye picha hapo chini ni mwaka 1957 ndani ya mji wa Virginia, USA. Huyu bwana mdogo aliiba gari ya babake na kwenda misele, bahati mbaya gari ikapata ajari. Apo Dogo aliamua kupiga pafu moja ya...
2 Reactions
2 Replies
879 Views
Ya kwanza, inayojulikana kama "NYOTA KUBWA YA AFRIKA" (THE GREAT STAR OF AFRICA) imewekwa juu ya fimbo yake ya ufalme, nyingine inayojulikana kama "NYOTA YA PILI YA AFRIKA" (THE SECOND STAR OF...
2 Reactions
2 Replies
913 Views
Nani anamkumbuka mkama sharp?
2 Reactions
40 Replies
7K Views
Mjue BI THERESA miss Tanzania wa kwanza 1967 tangu kuanzishwa mashindano ya umisi na alifariki mjini augburg Munich German 26/1/2007
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kipindi cha maswali ya papo kwa hapo siku ya alhamisi huko bungeni: Wabunge wote:Hapana,hatuna maswali mheshimiwa kwa sababu ninyi serikali ndiyo mlitupatia ubunge bure. Gwaji boy:Mheshimiwa...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Hizi mbawa zina jeuri ya kuficha uvundo uliooza wa uvunjifu wa katiba kwa sababu tu hakuna kushtakiwa. Huu ni ushahidi wa wazi kabisa wa athari za kutunga sheria za ovyo katika nchi, kama hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hahaaaaa the brain is getting hold of the heart.... JE KUNA UMUHIMU WA KUPENDA NA KWANINI UNAPENDA
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Back
Top Bottom