Picha ya kwanza ni abiria ndani ya mwendokasi na picha ya pili ni Kill marathon.Main character katika hizi picha zote mbili ni Maulid Kitenge.Je,umejifunza kitu gani?
Pichan ni mwaka 1937. kwa mara ya kwanza wanawake wawili
walivaa nguo fupi na kupita barabarani
waliteka akili za wanaume wengi na
kusababisha kutokea kwa ajali nyingi
harabarani
Unaweza kupunguza idadi ya pilipili... Saga na unywe kidogo kidogo kwa interval ya masaa kadhaa kadri utakavyo ona unaweza na hali yako ilivyo.
Maana hizi tanzia mmmmh....
Naomba kuwasilisha
Huyu mchungaji aliyekuwa anaombea huyu mheshimiwa ni noma yaani natamani nimfaham kwakweli ili siku moja nikiwa na tatizo nimuone na mimi anifanyie huduma!
Mwenye kumfaham huyu mchungaji naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.