Hakuna jambo lisilowezekana - labda hayo yalikuwa mawazo ya bwana. Amepakia magunia sita ya mkaa kwenye baiskeli yake. Mzigo huo una uzito wa karibu kilo 300. Hapo hakuna tena kuendesha...
Askari wa bunge la jamhuri wa Muungano wa Tanzania wakimdhibiti Mhe mbunge wa Chadema jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ndani ya bunge wakati akitolewa ndani ya ukumbi wa bunge hilo mjini...
Rais Jakaya Kikwete leo amefanya mazungumzo na Rais Paul Kagame wa Rwanda katika mkutano wa saba wa kimataifa wa nchi za maziwa makuu, unaofanyika Kampala, Uganda.
Haijafahamika mara moja...
Hebu nyanyuka unipige picha kwa iphone yangu: Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe alimpomruhusu bodyguard ampige picha kwa kwa Iphone yake, alipokua kwenye Francis' inaugural Mass VIP section
Haya ni baadhi ya matukio yaliyofanywa FDLR (wakati huo wakiitwa Intarahamwe)
Mwana JF baada ya kuona picha hizi ungemshauri nini Rais Kagame dhidi ya FDLR
Kwa muonekano wa hii picha na jinsi hali ilivyo sasa kati ya JK & PK , unadhani hii picha ingekuwa ni ya hivi karibuni ungeipatia maelezo gani ya kujitosherereza.
Mimi ninegukuwa 'mkulu wa kaya"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.