Jamani kuna watu wana utaalamu wa ajabu kutengeneza maumbile mbali mbali kwa kutumia mchanga wa beach. Sisi pia tuna bahari, labda ni vema tungeanzisha mashindani ya kutengeneza maumbile...
Mimi naanza kwa kuweka maneno...
Kinana: '..ukiniteua kuwa waziri mkuu mwaka 2015, nitaota kitambi mpaka hapa...!!'
Lowassa anajibu kwa kushangaa: '..Haaa !! wacha we....!!'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.