Misao Okawa ndiye mwanamke ambaye anashikilia rekodi ya dunia ya kuwa na umri mkubwa kwa wanawake.
Alizaliwa nchini Japan mnamo 05/03/1898 hivyo kumfanya awe na jumla ya miaka 115 .
Alipoulizwa...
Hapa watumwa kutOka afrika wakiwa wamefikishwa uarabuni, na wamepiga picha na mabwana zao waarabu!!
Mara moja moja tuwe tuna wakumbuka waee wetu hawa aliokuja kuchukuliwa kinyama huku kwetu na...
Gazeti la chama tawala cha china, Peoples Daily ambalo limezoea kuwa kitovu cha kusambasa habari, sasa limejikuta likiwa habari baada ya watu wenye fikra za kitukutu kuona jengo jipya la gazeti...
Bongo tambalare kweli, hata kuwe mafuriko maraha ni kwenda kwa mberembere, rararara raha we! Kesho hospitalini kwa vichocho na magonjwa yatokanayo na uchafu wa mafuriko.
Huyu ndio Waziri wa kwanza mweusi kwenye historia ya Italia, aliolewa na Muitaliano miaka mingi iliyopita na kuhamia pamoja na kuchukua uraia wa Italia mwaka 1983.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.