Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Huyu mkuu kaonyesha uzalendo kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha so watanzania tuchape kazi ili one day tuje kuwa the super power .....najua ndugu zangu wa Belgium watapinga
3 Reactions
44 Replies
5K Views
Hello Gentleman and ladies, Naombeni wenye picha za mji wa Chato atupie picha please .Sijabahatika kufika hilo Chato. Uko kama Arusha au Moshi Kilimanjaro ? Tupieni picha niweze au tuweze kuona...
4 Reactions
115 Replies
27K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
11 Reactions
19 Replies
3K Views
Mchoro huu wa Masoud Kipanya unaoonyesha maisha ya Mtanzania kuanzia 1960 - 2020 unafikirisha sana. Mwana JF mwenzangu wewe umepata tafsiri gani hapo?
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Obote - Raisi mwembamba, mjamaa wa kweli toka nchi masikini Kenyatta - Bepari wa kweli, kibonge suti yake unatoa mbili za Obote, hata viatu havimwenei tena Nyerere - slim fit, ufisadi kwake mwiko!
5 Reactions
20 Replies
7K Views
Hii nini wajameni
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimekuja baada ya mwaka mpya
1 Reactions
12 Replies
1K Views
boban akiwa na mgosi kinshasa watu wakiwa kwenye foreni ya kutoa heshima za mwisho akipelekwa makaburini hii ndo nyumba ya milele ya patrick mafisango hili ndo gari alilo pata nalo ajali...
3 Reactions
25 Replies
13K Views
Hawana mambo mengi, tukutane februari
3 Reactions
25 Replies
3K Views
aliyewahi kuitumia hii pesa, aliyewahi kuiona au anayeifahamu. Nahitaji majibu kuhusu hako kakiumbe kanakoonekana hapo chini kushoto ni ninii??
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Wewe upo kundi gani?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Swali ni kuwa vijana watakubali kuacha kuchunga ng’ombe wajifunze ufundi?
10 Reactions
23 Replies
8K Views
Nimetazama documentary hii ni nzuri sana.Tanzania ni kubwa aisee!
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jinsi viziwi wanavyotoa huduma nzuri mgahawa wa kitalii Iringa
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Hata sijui alipata wapi akili ya kujenga hivyo. Nyoka ndio adui wake mkubwa,lakini kadri nyoka anavyo sogelea kiota ndio hatari yake ya kudondoka inaongezeka. Siku ya siku mayai/vifaranga vya...
20 Reactions
48 Replies
17K Views
Back
Top Bottom