Habari ya weekend wana JF. Poleni na mihangaiko ya wiki nzima. Imagine mtu upo kwenye matembezi yako ya mwisho wa wiki na ghafla barabarani unakutana na huyu jamaa. Vipi utajisikiaje mwilini mwako?
DINNER TIME LEO NI KWA AMELINE MSIKOSE WADAU WOTE WA JF!!!!!
Haya wadau leo usiku msosi ndio ushapakuliwa, ila wewe mdau jipakulie uwezavyo na kingine beba uone jinsi gani ameline...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.