Hizi picha ni za mrembo mwanamitindo kutoka Kenya anayeitwa Ajuma Nasenyama ambaye kwa sasa ndio mwanamitindo wa Kiafrika anyetesa huko majuu.
Siku zote najiuliza swali: pamoja na kwamba black...
Mchezo unaozidi kupoteza mvuto wa mashabiki nchini Tanzania lakini kwa mataifa mengine ni mchezo unaowavutia wengi na kwa kila dereva anataka kushinda nakuonyesha uwezo wake...Una picha...
Mwenyekiti Mpya wa Chama cha Soka Mkoa wa DSM DRFA akitia saini kwenye "Kitabu cha Wageni" kabla ya kufungua semina ya waamuzi.................hii ni kwa Tanzania tu
*USIULIZE KWA NINI KAMKUMBATIA...NI KAZI HATA KAMA MUMEWE AKIULIZA ATAAMBIWA ALIKUWA KAZINI......
Askari Magereza ambaye hakuweza kufahamika jina lake akimsaidia mdada huyu aliyekuwa akinasa...
Mbunge wa Iringa Mjini akishiriki zoezi la Usafi.....baadae alibadilisha raba na kuvaa gum boot, Kiroba kinaonekana kwa mbali na leo ni JMS/WEEKEND...source jukwaa la siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.