TUESDAY, DECEMBER 11, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mbunge wa Ubungo Mhe John Mnyika na Balozi wa Korea kwa pamoja wakifungua rasmi jengo la Huduma za Mama na Mtoto katika...
Rais Jakaya Kikwete na Amir Jeshi Mkuu, akikagua gwaride wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania Bara, zilizofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza katika kikao chake cha Sekretarieti na Makatibu wa CCM wa mikoa, leo, Desemba 10, 2012, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.