mmmhhh jamani hao watoto ni aibu kwa wazazi ama walimu wao...mie hata sijui dunia ya sasa ....kuna katoto kamoja jirani yetu hapo kako hapa TPDC..MMH ukikaona kako silent kumbe wana mambo makubwa...
Chanzo:Tony Alfred on twitter.
Maoni yangu:
Kuna mtu/watu watakuwa wanajisikia vibaya sana kusoma tweet hizi(maneno haya) na wajue tu watakumbukwa kwa matendo yao na si kwa structures...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.