Kubali au Ukatae...iko hivyo
Wanawake wakivaa hizi nguo wanakuwa poa sanaa....halafu wanaonekana Classic wote yaani Wakishua hata kama sio....zaidi wanaonekana wasafi kumbe wengine hamna...
Kila kitu kinaendeshwa na watotonwa elf 2 ukubali ukatae game lipo mikonon mwao naomba tu watuvushe salama
Mashangaz samahanini kama nimewakwaza
Nimekaonja ka moja nimekua addicted sitoviacha
1. Una hela huna mpambe ni ajabu. Wewe unajisifu una hela huna mpambe, unapambana mwenyewe, husemwi, hisifiwi. Hizo ni pesa au maagizo ya mganga?
2. Unajisifu una hela, unakamatwa na mambo kesi...
Shamrashamra za Wananchi wa Ifakara wakimpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mkutano wa Hadhara uwanja wa CCM Ifakara, Wilaya ya Kilombero Mkoani...