Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Wakazi wa Dar es Salaam wakivuka Mto Tegeta wakiwa wamebebana baada ya daraja linalounganisha Salasala Kilimahewa na kulangwa Goba kubomoka.(Picha na Robert Okanda).
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Binti anawashukuru sana cheki humu BONGO STAR LINK: DIVA GIVING THANKS TO HER MASSIVE FANS....JAH BLESS
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nawapenda wote jamani na nawatakia heri ya pasaka nikiamini wote ni wazima..........MLALE SALAMA!!!!!!:sleepy:
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi Obama akitinga kwa Babu Loliondo itakuwaje ?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hali hii huwa inajirudia wakati wa siku kuu zozote kubwa za kidini. Picha hizi ni kutoka kwa Mroki za siku ya ya Pasaka iliyopita. Wakati wa Dar ambao wamezoea kinyaa wanaendelea kuwachagua watu...
3 Reactions
90 Replies
18K Views
Hapa hana ujanja !
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimekutana na hii kitu katika pitapita ya hapa na pale.....KWELI INACHEKESHA KWA WENZETU THITHIEM!!!!!!
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Mwimbaji maarufu dunia Shakira akimpa pole mpenzi wake mpya Gerard Pique ambaye ni mchezaji wa Barcelona baada ya Barcelona kufungwa na Real Madrid ambayo ilitwaa kombe la Copa del Rey baada ya...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
MICHUZI What's wrong with procurement huko Jeshi la polisi? Is this how we dress polisi wetu?
1 Reactions
22 Replies
4K Views
RAIS Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipiga ngoma muda mfupi baada ya kuwasili katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski kuhudhuria kikao cha Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Azania Front, mjini Dar es Salaam wakiigiza sehemu ya mateso ya Yesu Kristo wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wewe ni huyu hapa umeshajiona?
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Matunda ni muhimu kiafya.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeikuta hii kwenye wall ya mshikaji pande za fb. Eti noti zingekuwa hivi wakaka mngekuwa hamzitumii mnaziweka tu mifukoni... Sijui kuna ukwee?
1 Reactions
14 Replies
4K Views
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kajamaa sijui kanatafuta nini humo ni maziwa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom