Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Soka/riadha/ngumi Tanzania tumeshindwa! sasa tunakuomba muheshimiwa waziri wa michezo Nchimbi tuletee huu mchezo wabongo tunaweza bwana!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau hawa mapriest wanafanya nini?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
source: kenyanlist.com
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huyu ndie tunamtegemea kua kiongozi wa kesho akishamailza shule! Kweli tutaboresha shule zetu kua na kiwango chenye hadhi kama vile vitabu/madawati na mazingira bora ya kujisomea? Tafakari sana!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wat wafe kihoro tu! Huyu dada wa chama fulani anakutumia salamu, maisha si kukunjiana ndita!Take it easy chums!!!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete akipokea zawadi ya mchoro kutoka kwa Angela Kairuki, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kwa niaba ya akinamama wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), wakati wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mandhari home uswazi nyakati za jioni tunaposubiria umeme urudi
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Namkumbuka this lady enzi za uhai, alikuwa mpiganaji wa haki za vijana na mwenye moyo wa kujitolea pale alipoweza. Mwenzetu katangulia mbele ya haki tumuenzi kwa kuendeleza aliyoyaanzisha. Wabunge...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
:angry::angry::angry::angry::angry::angry:
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Sisi..... Wenzetu..... Lini tutawafikia nasi tujitosheleze kwa chakula?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wenzetu Ghana wamekuwa wabunifu, unazikwa kwenye Ndege.... Source:BBC.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Full JF ndani na music ya kufa mtu
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Tanzania bado kuna sehemu watoto wanatumikishwa mda wa masomo au baada. Enzi zetu kipindi kile ni tofauti na sasa wajameni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Five die as vehicles collide on highway
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani nilikutana na hizi frame za picha kwenye duka moja kubwa nchi fulani. Wadau sijui hapa mnasemaje!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna haja ya serikali au hata sisi vijana kupeana mafunzo jinsi ya uokoaji pindi ajali ya moto inapotokea. Mara nyingi watu huitikia mwito wa kuokoa vitu kwenye ajali ya moto lakini kwa kukosa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom