Zimbabwe's President Robert Mugabe sleeps during the speech of Libya's leader Muammar Gaddafi at the start of the third European Union-Africa summit in Tripoli November 29, 2010. Gaddafi warned...
Karibuni asana, tutakuwa maeneo ya kujidai na mwandani wangu....
Leo ni birthday yake akitimiza miaka 50 japokuwa bado mbichi. Ukitaka kuhudhuria omba kadi utatumiwa mahali ulipo
Huyu jamaa ni mtu muhimu sana katika jukwaa hili na hususani katika uwanja huu wa picha, sio siri tumemmiss sana na vitu vyake adimu, rudi uwanjani tafadhali
Jamani kuna wakati Gado Mwampembwa mTZ anaeshi Kenya aliwahi kutoa katuni zake kwenye gazeti la The East African,moja ya katuni hizo ilikuwa inaoonyesha waandishi wa habari wakilamba viatu vya...
Picha ya mtoto aliyo uliwa na wanajeshi wa-Israel, Mtazamo wake na tabasamu inayo toka katika uso wa maiti ya mtoto huyu inasikitisha!
Mungu Amlaze mahala pema.
Amin.
idara ya maliasili mkoa wa ruvuma inamshikilia mnyama huyo anaesadikika kuwa na uwezo wa kubashiri mambo.mpaka sasa hamna mtu aliyetoa utabiri unaohusiano wa kuonekana mnyama huyo ila kuna dalili...
Huyu bIbi sio siri amenivutia sana jinsi alivyo fit,bibi yuko mkakamavu hadi raha.
Mungu tusaidie mie na Uporoto wangu tukizeeka tuwe wakakamavu kama huyu grandy.
Mbibi kama huyu akienda kwa...