Usafiri wa pikipiki nchini Pakistani
Kinamama wa India
Wafilipino
Wachina wamezimwaga nyingi sana hapa nyumbani, zimepunguza tatizo la usafiri kwa kiwango kikubwa hasa maeneo ya nje ya jiji...
Katuni hii imenifurahisha sana, eti huu ni ukaguzi wa airport kama tumefika huku basi kweli dunia si mahala salama tena..
Angalia hii attachment au gonga hapa
Anaitwa Lakshmi mtoto huyu alizaliwa na miguu minne na mikono zaidi ya miwili iliyokuwa inazidi kuchomoza kila siku.,Lakini Mungu mkubwa alipofikisha miaka miwili akafanyiwa operation ya kumwondoa...
Maisha Bora bado ni kitendawili kwa wengi ya wapiga kura wa kutumainiwa huko mijini na vijijini. NI KATIKA NCHI AMBAYO WENGINE WANAZAIDI YA JOZI ISHIRINI YA VIATU!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.