Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته \\...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Kumezuka tabia ya wananchi kutupa taka mahali popote (mfano kando ya barabara) na tunaona ni jambo la kawaida. Hakuna anayejali kwani tunachukulia kuwa si jukumu letu. Nani alaumiwe na kitu gani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
<cite>wakuu hii nimeshindwa kumudu kuzicopi hiz picha kutokana na zilivyo mbaya. anayejiskia afungue hiyo link, (AT YOUR OWN RISK)...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Bendela hizi hapa chini zinatia aibu. Zimechanika na bado zimeng'ang'ania mitini:D Moja ni bendela ya halmashauri ya wilaya ya Muleba mkoani Kagera. Ya pili ni bendela ya sisi m. imekutwa kwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Horrible conditions of work in gold mines, and all this happen nowadays, the time of technical progress. Mlioko migodini hapa TZ huko Bulyanhulu...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Picha hii inaonesha wazee wanakuja kuomba binti yaani send off, sio kwamba wote ni waislamu ila hilo kanzu ni vazi la heshima
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Siku hizi kuna mitindo ya kutisha ya kudensi. Hii nayo kali mpaka ina world cup yake eti mitaa ya South America. Kazi kweli kweli wanajamii! The Miss Pole Dance Argentina 2009 competition was...
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Naona hata huku kwetu ndio ofisi kama hizi zimeanza, Yaani ukifika hapo au maeneo hayo kama wewe ni mgeni usome bango hilo katika picha. Kuuliza sh. 500 Kupelekwa sh. 1000 Kukaa sh. 100
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hii picha imenipa tafakuri kubwa sana....mtoto akilea mtoto Mwenzake, upendo wa hali ya juu Kwa hisani ya MichuziJr
0 Reactions
21 Replies
7K Views
0 Reactions
32 Replies
7K Views
http://1.bp.blogspot.com/_1fXMXYztr0w/Stf2Ra--YGI/AAAAAAAAUpY/hbaSumqZEaU/s1600-h/1242819109_resized.jpg
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Jina lake linatumiwa kuwababaisha Watanzania &#8226; Linatumiwa kujilinda dhidi ya hasira za umma &#8226; Ni kwa madai ya kuendeleza amani na utulivu TAREHE 14 Oktoba mwaka huu unatimia...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
haya dada zetu haya ndio matokeo ya kutuymia hizi dawa za kichina kwa ajili ya kukuza na kuunguza maumbile yenu, hebu acheni jamani wadau mnasemaje
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakati Tanzania kukiripotiwa matukio mbalimbali hasa ya ajali za moto, leo nimenasa tukio lingine majira ya saa 8:50 mchana (2:50PM) katika eneo la Iyunga karibu na kituo cha garimoshi cha TAZARA...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Incredible Dog Challenge
0 Reactions
0 Replies
2K Views
http://community.guinnessworldrecords.com/_CIMG2301JPG/photo/5537047/7691.html
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom