Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
Kuishi sehemu kama hii lazima utakuwa vizuri kichwani na afya ya mwili pia. Hapo kuishi miaka 120 kawaida tu. Switzerland [emoji1237]
36 Reactions
129 Replies
5K Views
Endapo kama hawa wanyama wote watafungiwa kwenye Cage moja, je nani atatoka mzima?
5 Reactions
10 Replies
940 Views
Wajue wakuu wa Majeshi waliohudumu nafasi zao tangu mwaka 1964-2024!
0 Reactions
6 Replies
667 Views
Kwa kweli nipende kulipongeza shilikisho la mpira wa miguu Tanzania kwa kushirikiana na Azam Media group Viwanja kwa upande wa Tanzania bara [NBC PL] Vinarizisha kwa kiwango kikubwa ukilinganisha...
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Hii picha inatrend sana hasa Tanzania ikizungumziwa masuala ya mvua na mafuriko. Naomba picha hii ikiwa full. Yaani nyumba full. Kuna 10,000/= cash kabla ya saa 06:00 asubuhi. Nipe picha ya...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Chumba chenye open Maliwato...!
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Unahisi mmiliki halali wa hili ghetto atakuwa anatokea mkoa gani?
3 Reactions
8 Replies
937 Views
General Museveni akiwa na familia yake baada ya kutoka kanisani. Hapo sambamba na Museveni yupo mama Janeth Museveni ambaye ni first lady na waziri wa michezo na utamaduni Uganda. Pia yupo Luteni...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Anasimamisha magari Kana kwamba ni trafiki anataka kulikagua gari ataingiza limkonga lake dirishani na kuanza kupapasapapasa humo kwenye gari chochote cha kula atakachokutana nacho ni halali yake...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Kama viko store kwenu au hapo kibaruani kwako tupigie picha ya baadhi ya tools zako unazoziaminia na kuzitunza daima kwani ndizo zinazokupa ugali.
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Pichani ni Kapteni Mabior Garang akiwa amesimama nje ya nyumba ya Mama yake huko maeneo ya Jebel karibu na Mlima Kunjur Mabior ni mtoto wa Muasisi wa Taifa la Sudan...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Ukweli ni kwamba tangu nizaliwe hadi sasa naelekea utu uzima wenyewe sijawahi ona haya machungwa. Nachojua machungwa aidha yawe matamu au machachu, ila hayakosi maji. Sasa haya sijui ya wapi. Na...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…