Kuna watu wao kila ukisema kitu kinachohusu Mungu hudai imeandikwa wapi katika bible kana kwamba biblia imeandika kila kitu alichotenda Mungu katika hii dunia
Wengi hatuna imani na roho mtakatifu...
Leo kama tunavyojua ni Ijumaa kuu ya kumbukumbu la Yesu Kristo kukamatwa, kuteswa na hatimaye kufa msalabani kwa makosa ya kubambikiwa japo tunajua alikuwa anajua kitakachomtokea toka alipoianza...
Kuna mvua kubwa ilinyesha huko Thailand mwaka 2015 na kuangusha samaki toka juu kila mmoja alikuwa anashangaa.
Mvua kama hiyo ingenyesha hapa bongo ungechukua hatua gani.
Vijana msiache huyu binti azeeke na ufundi wake, hebu muwahini mfaidi huo ufundi. Binti anasikitika anazeeka na utam wake haujatumika kabisa. Kazi kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.