Kitendo alichofanya naibu waziri maji Mh aweso kimenifurahisha sana na ni mfano wa kuigwa.nataka viongozi wa namna hii na sio wale wa kukaa ofisini wakipulizwa na ac tu.heko mh aweso
Tujuzane jamani hizo alama nimeshindwa kujua zina maana gani.
Hapo ni kahama kwenye maegesho ya magari makubwa ya mizigo,kwenye kumbukumbu zangu VETA sikuziona.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.