Ilinichukua muda kuelwa/kuielewa kibonzo hiki, nikasema hapana, ilinichukua muda, ila baada ya Uteuzi wa Makonda na yanayo endelea...!!
Jaribu nawe kufungua Macho/Ubongo.
Dah hii picha imenifikirisha sana unajuwa haya mambo some time huwa tunayachukulia poa kwa sababu hayajatokea kwenye nchi zetu.
Ata hivyo wanaonekana bado wana matumaini licha ya kupitia magumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.